Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Mh Kapuya, RC DSM
uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuwwwwwwwwwwwwwwiiiiiiiiiiiiiiiii
Mh Kapuya, RC DSM
JK yuko seriuos hawezi kumleta AR la sivyo anataka maendeleo yarudi nyuma kwani huyo mama hataweza fanya kazi na mbunge aliyepo. Hiyo itakuwa sabotage ya maendeleo ya Arusha mzee na JK anajua hilo hawezi fanya huo upuuzi
JK yuko seriuos hawezi kumleta AR la sivyo anataka maendeleo yarudi nyuma kwani huyo mama hataweza fanya kazi na mbunge aliyepo. Hiyo itakuwa sabotage ya maendeleo ya Arusha mzee na JK anajua hilo hawezi fanya huo upuuzi
JK UPI? KIKWETE AU MWALIMU, HUYAJUI YA MKUU WA MKOA MBEYA JOHN MWAKIPESILE, NA MWAKYEMBE' MWAKYEMBE ALIMSHINDA JOHN KURA ZA MAONI 2005 .UNAJUA BAADA yA UCHAGUZI MWAKIPESILE JOHN ALIPEWA UKUU WA MKOA MBEYA. KITUKO NI KWAMBA MWAKIPESILE ALIKUWA HAZIPANDI NA WABUNGE WOTE WA MKOA WA MBEYA KUANZIA MWANDOSYA, MWAKYUSA! NA BEN MPESYA WOTE WA CHAMA KIMOJA .SEMBUSE BURUANI NA LEMA WA VYAMA TOFAUTI . KWA KIFUPI NENO MAENDELEO KWA CCM NI HADITHI ZA KUSADIKIKA .JK yuko seriuos hawezi kumleta AR la sivyo anataka maendeleo yarudi nyuma kwani huyo mama hataweza fanya kazi na mbunge aliyepo. Hiyo itakuwa sabotage ya maendeleo ya Arusha mzee na JK anajua hilo hawezi fanya huo upuuzi
Mwana JF taratibu ndugu unataka tuchangie hisia zako ambazo hata wewe hujaziamini?.
JK yuko seriuos hawezi kumleta AR la sivyo anataka maendeleo yarudi nyuma kwani huyo mama hataweza fanya kazi na mbunge aliyepo. Hiyo itakuwa sabotage ya maendeleo ya Arusha mzee na JK anajua hilo hawezi fanya huo upuuzi
Mwaka huu walioanguka ni wengi, kama huyu mama atapewa AR, Malecela atapewa mkoa gani.
JK yuko seriuos hawezi kumleta AR la sivyo anataka maendeleo yarudi nyuma kwani huyo mama hataweza fanya kazi na mbunge aliyepo. Hiyo itakuwa sabotage ya maendeleo ya Arusha mzee na JK anajua hilo hawezi fanya huo upuuzi
JK yuko seriuos hawezi kumleta AR la sivyo anataka maendeleo yarudi nyuma kwani huyo mama hataweza fanya kazi na mbunge aliyepo. Hiyo itakuwa sabotage ya maendeleo ya Arusha mzee na JK anajua hilo hawezi fanya huo upuuzi
We Junior member acha kuleta habari ambazo hujaconfirm. Huo ni uzushi na umbea
Hezekiah Chibulunje - Mkuu wa Mkoa wa DodomaBatilda Burian - Mkuu wa Mkoa wa Arusha
Mwakipesila - Mkuu wa Mkoa wa Mbeya
Nazir Karamagi - Mkuu wa Mkoa wa Kagera
Laurent Masha - Mkuu wa Mkoa wa Mwanza
Endeleza list .. ... ...