Mwanazuoni
Member
- Nov 12, 2008
- 69
- 12
Nilikua nasikiliza BBC mcahan huu huyu mama mgombea wa Arusha alikua anahojiwa na BBC kuhusu green guards wa CCM.
Ajabu ameshindwa kujibu lolote...anongea kwa panic na anachodai ni kuwa hata Chadema wana Red Brigades ambao wamefundishwa mafunzo ya kijeshi.
Anadai yeye tayari ana kura 9000 za maoni hivyo ana 50% ya kura za Arusha. Lema yeye kateuliwa tu na mwenyekiti wake na kupachikwa Arusha.
Duh! anavyoongea utadhani hana PhD
Nadhani baada ya uchaguzi hospitali nyingi zitajaa wagonjwa wengi wanaosumbuliwa na pressure including huyu mama
Kazi nzito
Ajabu ameshindwa kujibu lolote...anongea kwa panic na anachodai ni kuwa hata Chadema wana Red Brigades ambao wamefundishwa mafunzo ya kijeshi.
Anadai yeye tayari ana kura 9000 za maoni hivyo ana 50% ya kura za Arusha. Lema yeye kateuliwa tu na mwenyekiti wake na kupachikwa Arusha.
Duh! anavyoongea utadhani hana PhD
Nadhani baada ya uchaguzi hospitali nyingi zitajaa wagonjwa wengi wanaosumbuliwa na pressure including huyu mama
Kazi nzito