STREET SMART
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 807
- 622
naangalia tv mlimani: ripota wao anasema batilda amekubali kusaini kushindwa, lema atatangazwa soon.
Siamini hadi nisikie kuwa kaweka sahihi.
Mafeki yamekuwa mengi kama mitihani ya form 4 Tanzania.
kabisa adi nisikie mwenyewe apa
pAMELIPUKA, lEMA kASHINDA!!!!!!!!!!
jamii forums imekuwa fake forums, yaani nimesikitika kuona kitu kama hiki kinachezewa na wehu kwa maslahi ya ushabiki wa siasa, very dissapointed. huwezi kuamini tena kinachopostiwa hapapAMELIPUKA, lEMA kASHINDA!!!!!!!!!!
kabisa adi nisikie mwenyewe apa ANGALIA STAR TV LIVE ARUSHA MJINI NOW.
Naangalia star tv this very moment. Matokeo hayajatangazwa.
let's be patient.
Uhakika haupatikani kwa saini ya aliyeshindwa, bali tangazo la msimamizi wa uchaguzi akiwakilishi NEC.Siamini hadi nisikie kuwa kaweka sahihi.
jamii forums imekuwa fake forums, yaani nimesikitika kuona kitu kama hiki kinachezewa na wehu kwa maslahi ya ushabiki wa siasa, very dissapointed. huwezi kuamini tena kinachopostiwa hapa