Naomba msaada wa nini cha kufanya bati limemkata mama watoto kwenye kidole
Rejea picha View attachment 1208099
Mwambie akiingize sehemu ya haja kubwa dawaNaomba msaada wa nini cha kufanya bati limemkata mama watoto kwenye kidole
Rejea picha View attachment 1208099
Duuh ulikuwa na Kutu au???Nenda hospital.akachomwe tetenus aisee hukuwa na haja ya kuanzisha Uzi. Kuna mtu alichomwaga na msumari akapuuzia matokeo yake akafa.
Hiyo ndiyo dawa tu na kila siku apake mkojoToa dushe kojolea hapo au yeye mwenyewe akojolee...mpe dawa ya kutuliza maumivu,mpeleke hospital akachome sindano ya tetenasi pia atapewa dawa ya kukausha na kusafisha kidonda..
Ndio mwisho akawa haponi kidongo kikaleta cancer aiseeDuuh ulikuwa na Kutu au???
Aisee balaa sanaa...!!Ndio mwisho akawa haponi kidongo kikaleta cancer aisee
mkeo ana magwambala miguuniNaomba msaada wa nini cha kufanya bati limemkata mama watoto kwenye kidole
Rejea picha View attachment 1208099
Naomba msaada wa nini cha kufanya bati limemkata mama watoto kwenye kidole
Rejea picha View attachment 1208099
Kazi maalum mkuuHilo dole gumba lako mbona kama lina weusi fulani hivi kama uke wa wale wavuta mjani maana kile kipisi cha mwisho kabisa kwenye kushika huwa kinafanya vidole viwe na ukungu huo
AsanteJF kuna watu wapumbavu sana kama mtoa mada, yn tatizo limetokea badala ya kwenda hosptal et unapost hapa. jaribuni ku-behave kama watu wazima wenye kujielewa.