Bata anazokula Ommy Dimpoz

bbwaoy

JF-Expert Member
Apr 17, 2015
466
464
Kwa waliopo instagram unaweza kuona mbwembwe za Ommy Dimpoz, bata akula haswa sijui ndio kaacha muziki Ana kula mafao sasa. Mara Paris, uki weka bundle kaisha fika Ujerumani. Ukizima simu ukiwasha yupo Sweden huna kaa sawa utamsikia Dubai, kosa ujisahaulishe utamuona nduguyo Marekani sio tour ya music No, ni bata na relaxing flan hivi amazing... Kila la heri Ommy D.
 
Kwa waliopo instagram unaweza kuona mbwembwe za Ommy Dimpoz, bata akula haswa sijui ndio kaacha muziki Ana kula mafao sasa. Mara Paris, uki weka bundle kaisha fika Ujerumani. Ukizima simu ukiwasha yupo Sweden huna kaa sawa utamsikia Dubai, kosa ujisahaulishe utamuona nduguyo Marekani sio tour ya music No, ni bata na relaxing flan hivi amazing... Kila la heri Ommy D.
Mwache ale bata maisha yenyewe ni mafupi
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom