Mwalimu Makini
Member
- Dec 5, 2009
- 65
- 23
Ninamjua Mwalimu Basil Lema ambaye ni Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini Mhe. Philemon Ndesamburo.
Huyu bwana anaisumbua CCM kwa mipango ya aina mbali mbali majimbo yote ya mkoa wa Kilimanjaro. He is smart in planning things. Lakini anashukiwa kuwa na mkono serikalini. Anybody with information about this person?
Huyu bwana anaisumbua CCM kwa mipango ya aina mbali mbali majimbo yote ya mkoa wa Kilimanjaro. He is smart in planning things. Lakini anashukiwa kuwa na mkono serikalini. Anybody with information about this person?