jeipm JF-Expert Member Sep 28, 2018 500 820 Jun 18, 2019 #1 Wanajamvi wezangu naomba kwa anae fahamu Nauli ya kutoka MWANZA hadi MOROGORO/ DUMILA moja kwa moja anijuze... Na mabasi mazuri yanayohusika na mida yake ya kuondoka Tafadhali......
Wanajamvi wezangu naomba kwa anae fahamu Nauli ya kutoka MWANZA hadi MOROGORO/ DUMILA moja kwa moja anijuze... Na mabasi mazuri yanayohusika na mida yake ya kuondoka Tafadhali......
Mwifwa JF-Expert Member Apr 3, 2017 46,916 122,171 Jun 18, 2019 #2 Gari ni DarLux, Kisbo... Nauli sijui, tembelea ofisi zao hapo Nyegezi au Mjini popote zilipo
Sanchez magoli JF-Expert Member Apr 24, 2015 4,056 8,532 Jun 18, 2019 #4 Nauli ya mwanza_to morogoro, DSM ni mmoja; Kama unapenda luxury panda Darlux nauli ni 50k. Kama unataka uwahi mapema; panda gari hizi. Panda kisbo 37k to 40 inategemeana na uzungumzaji wako. Ardhi bus- 35k
Nauli ya mwanza_to morogoro, DSM ni mmoja; Kama unapenda luxury panda Darlux nauli ni 50k. Kama unataka uwahi mapema; panda gari hizi. Panda kisbo 37k to 40 inategemeana na uzungumzaji wako. Ardhi bus- 35k
jeipm JF-Expert Member Sep 28, 2018 500 820 Jun 18, 2019 Thread starter #5 Kiongozi na vip nikiwah asubh kukata tiketi kwenye basi lenyewe inakuwaje
Profesa ntare nkobe JF-Expert Member Feb 5, 2018 6,957 8,073 Jun 18, 2019 #6 Zuberi nauli haizidi 40 elfu ukilia 35