papaa2015
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 411
- 100
Kwenye Heading si ameshasema VIGWAZA.
wasimlaumu jamaa,taarifa imetolewa kuomba msaada,kama kataja eneo na ni basi la kampuni gani inatosha kwa taarifa.Hayo mengine ya picha na zaidi yatakuja baada ya kuokoa watu.....au tunataka apige picha badala ya kuokoa?