EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,303
Hili ni basi la abiria la Raha Leo lenye namba za usajili T431 ARM linalofanya safari zake kati ya Dar Es Salaalam na Tanga likiwa limesheheni abiria mpaka mlangoni leo wakati likielekea Dar Es Salaam. Hizi picha zimechukuliwa leo leo. Picha kwa hisani ya Michuzi Blog (MICHUZI: Basi la Abiria liendalo mikoani linapojaza abiria mpaka mlangoni). Hili basi likipata ajali (Mungu epusha mbali) tutaambiwa lilikuwa na abiria 65 tuu.