Basi la Raha Leo lilivyosheheni abiria mpaka mlangoni!!

jamani tusipende sana kuwalaumu wamiliki wa magari kwani wao wanafanya biashara ila tatizo ni kwa abiria wenyewe kwani hata wakiambiwa gari imejaa bado wanagombea kuingia ili wasimame, Jambo la msingi serikali yetu ichukue hatua kali za kinidhamu kwa abiria aliyesimama pamoja na mmiliki wa gari aliyesimamisha abiria sio kusubiri ajali zitokee kwanza
 
jamani tusipende sana kuwalaumu wamiliki wa magari kwani wao wanafanya biashara ila tatizo ni kwa abiria wenyewe kwani hata wakiambiwa gari imejaa bado wanagombea kuingia ili wasimame, Jambo la msingi serikali yetu ichukue hatua kali za kinidhamu kwa abiria aliyesimama pamoja na mmiliki wa gari aliyesimamisha abiria sio kusubiri ajali zitokee kwanza

Hivi kama sheria tukiifuata ya kujaza abiria sijui kama daladala zetu hapa mjini zitapona? au hawa wana haki na wale hawana?
 
hapo watu wapo kimyaaaaa maisha yanaendelea, ikitokea ajali watu ndo wanapotaka kupata sifa. huu unafiki utatuua.
 
kama ni ile Raha Leo inayotoka Tanga saa 10 jioni mbona hapo bado kwenye corridor ya hlo basi huwa kuna vigoda vya kukalia watu yani hata kwenda kuchimba dawa huwa ni issue pa kupita..waTz tunahitaji kubadilika kwa kweli unless we will remain surrow 4 life!!!
 
....................Nadhani kuna mambo mengi sana yanayohitaji mijadala ya kitaifa,ajali imekuwa ishu jamani,na hii inachangiwa na vitu vingi....kama umaskini,udereva ni kazi amabayo walioshindikana nyumbani ndio wanaambiwa nenda VETA kasome udereva.Mheshimiwa E.Wenje aliwai kusema wakati anachangia hotuba ya wizara ya mambo ya ndani...."Polisi wa barabarani hawawezi acha rushwa wakati wanaona wakuu wao wakipiga deal kubwa kubwa....." bila mjadala wa kitaifa hakika tutakufa sana na baadae tutasema RIP......Mungu alikupenda zaidi kuliko sisi...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom