Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,639
hawa ndio wale wenye basi la moja kwa moja toka s'wanga mpaka dar. Wanakimbia kwelikweli.....!!!
shemeji mbona wanasema watano ndio wamekufa mweeee
hawa ndio wale wenye basi la moja kwa moja toka s'wanga mpaka dar. Wanakimbia kwelikweli.....!!!
tulia kwanza...alikua kwenye basi hilo?
Hao ni noma sana kwa kukimbiaAisee wanafikaga Mbeya sa 10... kwakweli wamezidisha
yeah na hapatikani.....
Hao ni noma sana kwa kukimbia
shemeji mbona wanasema watano ndio wamekufa mweeee
Kuna thread humu watu walikuwa wanasifia mabasi yanayokimbia Sana,hili halikuwemo kwenye top ten??! Bado mnaweza kuendelea kusifia hao wendawazimu wanaoitwa madereva?! Rip marehemu wrote.
Zifanyie Kazi Hizo Tetesi Zako Kisha Urudi Tena Humu Na Habari Kamili. Critical Thinkers Huwa Hatuamini Sana Ktk Tetesi Kwani UMBEA Tu.