Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,526
hawakawii kama walichofanya ndani ya uwanja wa taifa...''akumbukwe kibao''ila hapo kwenye kijani watake radhi ndg zetu hawa...My brother hayo hapo juu unataka uya implement Dar ? thubutu. Dar lazima makonda wawili na baunsa au polisi kuzuia wizi na uharibifu ndani ya gari. Hapa kuna wamasaai. wagogo. wakwere. wasukuma na wamakonde ambao hata kuflash choo tu ni kazi. itakua hayo uliyoandika ?
baada ya siku kadhaa utalikuta hivi