Basi la Falcon latekwa na majambazi ktk mlima sekenke

Wakipokea simu unabahati na wakishapokea simu watajidai hawajui sehemu ulipo vamiwa na ukiwaelewesha watachukua hata saa mbili ndiyo wanakuja sehemu ya tukio.....lakini wameonyesha usitadi wa kurusha risasi za moto kwawandamaji na wale walio kuwa wanadai haki zao kule mbeya.....sasa miminawaomba huo usitadi wao wakurusha risasi za moto wazielekeze kwa majambazi...

Hapa ndipo IGP Mwema anapaswa kutuambia vipi '' Taarifa za Ki-intelejensia'' kama zile za Arusha, hakuwahi kuzipata hadi Bus likatekwa?
 
mwema anachojua ni kufuatilia taarifa za kiintelejesia dhidi ya cdm na wanamapinduzi kazi ya kulinda usalama wa raia na mali zao imemshinda kabisaaa.
 
Ilitutoke mwezi wa 11 mwaka jana, Tulikua na gari coaster tukipeleka msiba shy, ilikua majira ya saa mbili hivi.

Jamaa walipanga mawe makubwa barabarani ilikua kwenye kona kabla ya kuanza mlima, nakumbuka walitokea watu kama 15-20, walivunja vioo vyote kisha kutusachi watu wote mmoja mmoja, walikomba kila kitu. mbaya wakasachi na maiti, eti labda tumeficha pesa. sitosahau, jamaa hawana huruma.
 
Back
Top Bottom