Basi la kutoka Tabora kwenda Arusha limepata ajali maeneo ya Jengo la mkuu wa mkoa,majeru ni wengi,tunashukuru watu wa usalama wamefika kwa wakati na wanatoa msaada mkubwa.
Ajali zimekuwa rafiki wa karibu wa safari zetu maana wasimamizi wa usalama barabarani pamoja na madereva wanapalilia urafiki huo. Tusipo chukua hatua wenyewe itazidi kula kwetu huku tukiachwa na vilema vya kudumu kama sio vifo!
Mimi nimekata tiketi ya kesho kutoka Dodoma kwenda Moshi na nikweli yanakimbia nataka niwahi kufika mapema na sio kwenye ajali.
MUNGU awape ahuweni majeruhi wote, kesho nalipanda tu sina ujanja liniwahishe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.