johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,561
Kupitia taarifa ya habari ITV wameonekana abiria waliopata ajali ya basi la Classic kutokea Kampala kuja Dar es Salaam wakielezea namna ajali hiyo ilivyotokea.
Majeruhi wote waliohojiwa ni Wazanzibar na abiria watatu waliofariki ni Wazanzibar.
Naibu waziri wa mambo ya ndani ambaye ni Mzanzibar ndiye aliyewatembelea majeruhi na kamishna wa maafa kutoka SMZ.
Ndio sijaelewa kama ajali hii ilihusisha Waunguja pekee ama?
Mliofuatilia tafadhali!
Majeruhi wote waliohojiwa ni Wazanzibar na abiria watatu waliofariki ni Wazanzibar.
Naibu waziri wa mambo ya ndani ambaye ni Mzanzibar ndiye aliyewatembelea majeruhi na kamishna wa maafa kutoka SMZ.
Ndio sijaelewa kama ajali hii ilihusisha Waunguja pekee ama?
Mliofuatilia tafadhali!