Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,899
Wakurya bhana mlishatokea dirishani zamani!
Vita ni vita Mura,
Hakuna muda wa kupoteza.
Wakurya bhana mlishatokea dirishani zamani!
Batco ni msukuma
Ngosha, kachemsha sana maana huwezi ukawatoa kafara wakurya, Damu yao haishikwi na. Mchawi maana wametahiriwa alfajiri saa 4 hadi 12 asubuhi !!
Ngosha, Akiendelea kuwatafuta wakurya wa kafara, atamaliza mabasi hadi nyumba zake zote.
Yaani wao vita ni vita ( fita ni fita Mura, tubhia bhomu).
Mshana Jr njooooo huku wameliamsha dudeee!!
Siyo tu Wakurya Mkuu kiujumla Watu au Makabila yote ya Mkoa wa Mara hayarogeki na Mtu yoyote akijaribu Kumroga Mtu wa kutoka Mkoa wa Mashujaa na waleta Uhuru wa nchi hii wa Mara kuna mawili ama afe kabisa au atakuwa chizi hadi umauti wake. Ukitaka kuujua huu ukweli kuwa Watu wa kutoka Mkoa bora na uliobarikiwa kabisa kuliko mingine yote wa Mara hawarogeki na siyo wa kuchezewa waulize Wahaya, Waha, Wanyiramba, Wanyaturu na Warangi kwani kila wakitujaribu tu wanabaki kupukutika Wao.
Yaani kabisa utoke huko ulikotoka umroge Mkurya au Mzanaki au Mjita au Muikizu au Mjaluo au Mruri Wewe si utakuwa unajitafutia tu balaa? Sisi tunawezana na kurogana wenyewe kwa wenyewe lakini hakuna Mtanzania wa Kabila lolote lile anaweza kuwa na ubavu wa kumroga mwana Mara ( Musoma ). Dawa zote za nchi hii zimeanzia na bado zipo Mkoani Mara.
Aiseeeeeh,
Yaani kweli nimeliamsha dudeee.
Mshana Jr na Mzizi Mkavu , njoooooni huku wameliamsha dudeee!
Tena hakuna Watu wepesi Kurogeka na kama ukitaka uwalie Pesa zao wapige Mkwara wa Kuwaroga kama Wahaya, Waha, Wanyiramba, Wanyaturu na Warangi Mkuu.
Mkwala mbuziSiyo tu Wakurya Mkuu kiujumla Watu au Makabila yote ya Mkoa wa Mara hayarogeki na Mtu yoyote akijaribu Kumroga Mtu wa kutoka Mkoa wa Mashujaa na waleta Uhuru wa nchi hii wa Mara kuna mawili ama afe kabisa au atakuwa chizi hadi umauti wake. Ukitaka kuujua huu ukweli kuwa Watu wa kutoka Mkoa bora na uliobarikiwa kabisa kuliko mingine yote wa Mara hawarogeki na siyo wa kuchezewa waulize Wahaya, Waha, Wanyiramba, Wanyaturu na Warangi kwani kila wakitujaribu tu wanabaki kupukutika Wao.
Yaani kabisa utoke huko ulikotoka umroge Mkurya au Mzanaki au Mjita au Muikizu au Mjaluo au Mruri Wewe si utakuwa unajitafutia tu balaa? Sisi tunawezana na kurogana wenyewe kwa wenyewe lakini hakuna Mtanzania wa Kabila lolote lile anaweza kuwa na ubavu wa kumroga mwana Mara ( Musoma ). Dawa zote za nchi hii zimeanzia na bado zipo Mkoani Mara.