Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,261
Dah! Moyo unaniuma kama vile bus langu vile
Mwita Batco ana magari mapya sio Skrepa!Mmh, Hizi skrepa noma
BAD NEWS!
Basi la BATCO lenye namba za usajili T192DHW likiteketea kwa moto hii leo katika eneo la Kirumi kata ya Bukabwa Wilayani Butama Mkoani Mara. Gari hilo lilikuwa linafanya safari zake kutoka Tarime-Sirari na Mwanza.
Chanzo cha Moto huo bado hakijafahamika.
Taarifa za awali kutoka kwa baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo pamoja na abiria wameeleza kuwa baadhi ya mali za abiria zimeteketea kwa moto na hakuna mtu aliyepoteza maisha.
View attachment 521993 View attachment 521994
Basi poleDah! Moyo unaniuma kama vile bus langu vile
Huyo siyo mkurya ni ngosha msukuma ndo tajiri wa hayo mabasWakurya na nyie mara hii mmeshaanza kuwa na tabia za kutoa Mikafara?
Ukisikia Tarime akili zako zinakuongoza kuwa mmiliki wa bus ni mkurya! Duh, leo umechangia kwa kutumia akili za Lumumba! Una nn Kaka?Wakurya na nyie mara hii mmeshaanza kuwa na tabia za kutoa Mikafara?
Kwa akili hizi tutasubiri sana kupata viwanda!Kuna Mdau mmoja wa Masuala ya Udereva na Usafirishaji wa Mizigo na Abiria aliwahi kuniambia kuwa siku zote ukiona ajali ya Gari au Basi ni ya Moto halafu hakuna hata Mtu mmoja ama aliyejeruhiwa wala kupoteza maisha basi jua tu ya kwamba Kafara limekataa na kwamba kuna uwezekano mkubwa huyo Mlengwa ( mmiliki wa Gari / Basi hilo ) akapoteza maisha au kukatokea matatizo makubwa sana katika Familia yake ila akiwahi kufanya tambiko atajiokoa na dhahama.
Kwa ajali kama hii huwezi kwanza mabasi yenyewe full ac, na iwapo inatokea shoti kwenye mfumo wa umeme ni hatari sana. Ila tumshukuru Mungu wote wametoka salama kuliko na milango ingekuwa imegoma au lingekuwa limelipuka ghafla.Ajali nyingi hutokea kwa madereva kutoelewa kinachoendelea kwenye magari wanayoendesha.
Dereva mzuri ni yule anaesikiliza mlio wa gari na sio mziki wa sauti kubwa.
Miziki ya kelele sana zinamfanya dereva asielewe kinachoendelea hata kama exhaust imeanguka
Mungu mkubwa, wamenusurikaKwa ajali kama hii huwezi kwanza mabasi yenyewe full ac, na iwapo inatokea shoti kwenye mfumo wa umeme ni hatari sana. Ila tumshukuru Mungu wote wametoka salama kuliko na milango ingekuwa imegoma au lingekuwa limelipuka ghafla.
Hivk hakuna zimamoto karibu au boser?
Andika sirari- Tarime-MwanzaBAD NEWS!
Basi la BATCO lenye namba za usajili T192DHW likiteketea kwa moto hii leo katika eneo la Kirumi kata ya Bukabwa Wilayani Butama Mkoani Mara. Gari hilo lilikuwa linafanya safari zake kutoka Tarime-Sirari na Mwanza.
Chanzo cha Moto huo bado hakijafahamika.
Taarifa za awali kutoka kwa baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo pamoja na abiria wameeleza kuwa baadhi ya mali za abiria zimeteketea kwa moto na hakuna mtu aliyepoteza maisha.
View attachment 521993 View attachment 521994
Ukisikia Tarime akili zako zinakuongoza kuwa mmiliki wa bus ni mkurya! Duh, leo umechangia kwa kutumia akili za Lumumba! Una nn Kaka?
Wakurya na nyie mara hii mmeshaanza kuwa na tabia za kutoa Mikafara?
Hebu funguka toa somo hapo wengi hawana ufahamu
Kuna Mdau mmoja wa Masuala ya Udereva na Usafirishaji wa Mizigo na Abiria aliwahi kuniambia kuwa siku zote ukiona ajali ya Gari au Basi ni ya Moto halafu hakuna hata Mtu mmoja ama aliyejeruhiwa wala kupoteza maisha basi jua tu ya kwamba Kafara limekataa na kwamba kuna uwezekano mkubwa huyo Mlengwa ( mmiliki wa Gari / Basi hilo ) akapoteza maisha au kukatokea matatizo makubwa sana katika Familia yake ila akiwahi kufanya tambiko atajiokoa na dhahama.
Yaani, break za Gari zinachokonolewa kila dakika ama kila siku na mbaya zaidi anayefanya hivyo siyo Fundi Bali ni utingo au mpiga debe wa stendi