HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,399
- 6,077
Wakuu habari za asubuhi,
Ninasafari ya kwenda Kampala nataka kupita njia ya Nairobi ni bus gani Zuri na bei yake ni shilingi ngapi? Hadi kufika Kampala tutatumia masaa mangapi?
Ninasafari ya kwenda Kampala nataka kupita njia ya Nairobi ni bus gani Zuri na bei yake ni shilingi ngapi? Hadi kufika Kampala tutatumia masaa mangapi?