Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,502
- 6,403
Habari wakuu
Kiukweli kwa hadhi kubwa ya jiji letu kuu la Dar es salaam iliyonayo haifai kuwa na basi zinazotumika kusafirisha watu ndani ya jiji hili
Basi zimechoka saaana kiasi kufikia kuonekana kama chuma chakavu na wala hazivutii kabisa
Kwa zinavyooneka barabarani ni sawa na uchafu na takataka barabarani, zinachafua mazingira na kuleta foreni zisizo na ulazima ndani ya jiji
asilimia kubwa ya daladala (dsm) zinazoenda mbagala na gongo la mboto hazina viwango vya kukazita viunga vya jiji hili.
mamlaka husika zinazodili na usafiri ndani ya jiji ziliangalie swala hili kwa kuziondoa basi chakavu zote zinazochafua jiji hili muhimu na taswira ya taifa zima
mniwie radhi wale wote mnaofanya biashara hii kwa kutumia vyuma chakavu vinavyotembea
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli kwa hadhi kubwa ya jiji letu kuu la Dar es salaam iliyonayo haifai kuwa na basi zinazotumika kusafirisha watu ndani ya jiji hili
Basi zimechoka saaana kiasi kufikia kuonekana kama chuma chakavu na wala hazivutii kabisa
Kwa zinavyooneka barabarani ni sawa na uchafu na takataka barabarani, zinachafua mazingira na kuleta foreni zisizo na ulazima ndani ya jiji
asilimia kubwa ya daladala (dsm) zinazoenda mbagala na gongo la mboto hazina viwango vya kukazita viunga vya jiji hili.
mamlaka husika zinazodili na usafiri ndani ya jiji ziliangalie swala hili kwa kuziondoa basi chakavu zote zinazochafua jiji hili muhimu na taswira ya taifa zima
mniwie radhi wale wote mnaofanya biashara hii kwa kutumia vyuma chakavu vinavyotembea
Sent using Jamii Forums mobile app