Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,899
- 4,623
Ccm ni ukoo wa panya hakuna aliye msafi wote wana kitu ambacho wameiba.Ukaguzi wa Mali za CCM uligundua mengi ikiwemo upigaji uliofanywa na akina Nape Nnauye
Ile ripoti kuifanya Siri hamkuitendea haki nchi na wananchi
Wizi wa Akina Nape ulistahili kuanikwa wazi ona Sasa akina Nape wanatamba sana utafikiri hawajawahi kuwa wezi kuibia CCM
Ripoti ile itolewe hadharani
Hata wewe Pasco enzi za kina bashiru utakuwa ulikula rushwa.