mwakajingatky
JF-Expert Member
- May 30, 2018
- 555
- 909
Ofisi ya mganga mkuu imepokea barua yenye kumb. MCC/M.80/2/10 kutoka ofisi ya mkurugenzi wa jiji yenye agizo kutoka kwa katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taifa mh.dr Bashiru Ally Kakurwa kuhakikisha mabalozi wa mashina hawapangi foleni katika ofisi za serikali
Kwa barua hii mnaagizwa kuzingatia agizo hili kuwapa kipaumbele kwa kuwahudumia mabalozi wa nyumba kumi ili waendee kuwahudumia wananchi muda wote na kwa ufasaha zaidi
Nawatakia utekelezaji mwema
KAIMU MGANGA MKUU WA JIJI,
Sophia Kiluvia
Kwa barua hii mnaagizwa kuzingatia agizo hili kuwapa kipaumbele kwa kuwahudumia mabalozi wa nyumba kumi ili waendee kuwahudumia wananchi muda wote na kwa ufasaha zaidi
Nawatakia utekelezaji mwema
KAIMU MGANGA MKUU WA JIJI,
Sophia Kiluvia