Ushora Ndago
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 318
- 360
USSR,
Nimesema mara nyingi humu jamvini ! Zitto Zuberi Kabwe ni mwanasiasa mnafiki hakuna mfanowe ! Kila siku anashinda mitaa ya Twitter na Kona za Instagram kusogoa na wenzie kina Fatuma karume...., kasikia Dr. Bashiru anaanza Ziara kigoma huyo ghafla kaibukia mitaa ya ujiji ! Hovyo kabisa huyu jamaa ! Eti anaenda kuwatumikia wapiga kura wake, hovyoo ! Kumekucha ndio anapapasa kutafuta shuka ! Khaa!
Nimesema mara nyingi humu jamvini ! Zitto Zuberi Kabwe ni mwanasiasa mnafiki hakuna mfanowe ! Kila siku anashinda mitaa ya Twitter na Kona za Instagram kusogoa na wenzie kina Fatuma karume...., kasikia Dr. Bashiru anaanza Ziara kigoma huyo ghafla kaibukia mitaa ya ujiji ! Hovyo kabisa huyu jamaa ! Eti anaenda kuwatumikia wapiga kura wake, hovyoo ! Kumekucha ndio anapapasa kutafuta shuka ! Khaa!