Bashir Yakub: Nitayashitaki makampuni manne ya simu

Mawazo yako nayakubali kidogo lakini mbona Facebook wameweka options ya free surf ba data surf ninyi hamshindwi kuweka alert kwamba
KIFURUSHI CHAKO KIMEISHA, UTAENDELEA KUTUMIA MUDA WA MAONGEZI?
1.NDIO
2.HAPANA
Basi hapa mngekua mmemsaidia mteja wenu
Mi nina 15 gb vodacom na dakika 700 mitandao yote
Lakini nikinunua salio la sh1000 kutumia huduma ambazo zinahitaji salio la kawaida nikijisahau nusu saa tu nakuta pesa imeshaliwa haipo tena sasa mnakua kama majini vile albertdaniel,
 
Bashir Yakub, Mi naomba utakapowasilisha hayo mashtaka usisahau kipengele cha kudai fidia kwa muda wote huo waliotuibia. Kila kampuni iwalipe wateja wake fidia kwa huo wizi
 
Yakub, bado ndio wanazidi kuwa jeuri. Kuna aka ka Zantel, kajeuri kama nini! Kanakata hela za watu kwa kuwaunganisha bila ridhaa yao!
 
Kwa uzi wale wapenda sifa ,wapambe wa akina Mbowe,Zito,Lissu hutawaona,haya ndio mambo ya mhimu kuliko kulumbuna ujinga wa kujitoa au kutojitoa,wajitoe au wasijitoe wanaonufaika ni wao wenyewe na familia zao.
 
Chief-Mkwawa,
Wewe utakuwa kibaraka wa hao mafisadi wa mitandao ya simu. Unatetea upumbavu kuwa umepewa GB utazi monitor kwa apps za simu? Nonsense!

Ukitaka kujua kuna shida mahali nunua bundle Voda na Halotel kwa ujazo sawa, aidha 1GB kisha play content ya kule Youtube kwa pamoja halafu tazama kama zile data packs zitaisha sawa kwa mitandao hio miwili.
 
Mkuu siku hizi halotel wanalamba mb utadhani jini makubla
Hii ndio sababu imenifanya nimehamia Zantel, japo nachekwa na watu ila huku ninathaminiwa tofauti na huko kwengine kwa vibaka wazoefu tigo,voda ama halotel. Siwatumii hao mbwa, huku nilipo ni Unlimited offers tu.
 
Wewe utakuwa kibaraka wa hao mafisadi wa mitandao ya simu. Unatetea upumbavu kuwa umepewa GB utazi monitor kwa apps za simu? Nonsense!

Ukitaka kujua kuna shida mahali nunua bundle Voda na Halotel kwa ujazo sawa, aidha 1GB kisha play content ya kule Youtube kwa pamoja halafu tazama kama zile data packs zitaisha sawa kwa mitandao hio miwili.
Youtube inakupa quality kutokana na speed ya mtandao wako. So unataka anaeplay video ya 4k na anaeplay video ya 240p wakatwe mb sawa? Kama speed yako ni kubwa youtube watakupa quality nzuri na mb zitaenda nyingi na kama speed ni ndogo utapewa quality ndogo na mb zitaenda kidogo otherwise manual uchague quality ya video.

Hakuna shida yoyote hapo ni matumizi yetu tunasingizia mitandao ya simu.
 
Hii ndio sababu imenifanya nimehamia Zantel, japo nachekwa na watu ila huku ninathaminiwa tofauti na huko kwengine kwa vibaka wazoefu tigo,voda ama halotel. Siwatumii hao mbwa, huku nilipo ni Unlimited offers tu.
Zantel vifurushi vyao vipo vipi kwa sasa?
 
Youtube inakupa quality kutokana na speed ya mtandao wako. So unataka anaeplay video ya 4k na anaeplay video ya 240p wakatwe mb sawa? Kama speed yako ni kubwa youtube watakupa quality nzuri na mb zitaenda nyingi na kama speed ni ndogo utapewa quality ndogo na mb zitaenda kidogo otherwise manual uchague quality ya video.

Hakuna shida yoyote hapo ni matumizi yetu tunasingizia mitandao ya simu.
Alichomaanisha Extrovert ni ile ceteris paribus
 
Back
Top Bottom