Wagombea ujumbe we NEC kupitia wilaya ya Nzega Bw. Hussein Bashe na Dk. Hamis Kigwangala wamerejeshwa kuombea nafasi hiyo na Kamati Kuu baada ya Awali Taarifa kuelezea kuwa Secretarieti ya CCM iliwatoa kugombea nafasi hiyo.
Pia Kamati Kuu ya NEC imewarejesha Bw. Mgeja na Bw. Lembeli kugombea nafasi ya Mwenyekiti we CCM mkoa we Shinyanga.
Mwisho
Pia Kamati Kuu ya NEC imewarejesha Bw. Mgeja na Bw. Lembeli kugombea nafasi ya Mwenyekiti we CCM mkoa we Shinyanga.
Mwisho