Bashe avua gamba

Status
Not open for further replies.

Eberhard

JF-Expert Member
Dec 20, 2010
1,120
757
kwa taarifa niliyoipata jioni hii ni kwamba Ndugu Mohamed Bashe amevua gamba na kuvaa Gwanda.
karibu aluta continue.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    28.2 KB · Views: 3,085
Vichekesho vingine bwana?

Siku zote kwenye mkusanyiko wa mambulumundu hapakosi vituko
 
Wenye kujitambuwa hupanda basi lililo bora, jipya na nafasi ikiwemo ndani ya kutosha

sasa mtu na akili yake anajitowa chadema na kuenda ccm unategemea Wassira akuachie nafasi kweli....?? niwapumbavu tu...

Bashe mjanja anafahamu fika kwamba kupitia chadema ubunge hataukosa maana basi la cdm ni jipya na kunanafasi.
 
Wenye kujitambuwa hupanda basi lililo bora, jipya na nafasi ikiwemo ndani ya kutosha

sasa mtu na akili yake anajitowa chadema na kuenda ccm unategemea Wassira akuachie nafasi kweli....?? niwapumbavu tu...

Bashe mjanja anafahamu fika kwamba kupitia chadema ubunge hataukosa maana basi la cdm ni jipya na kunanafasi.

Kwamba kafuata ubunge au???!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom