HUU NDIO MSHANGAO WA HUSSEIN BASHE
"Mheshimiwa Rais, naomba naomba nikupe taarifa - tarehe 21 Julai, Mkurugenzi Mtendaji wa ACACIA ametangaza kuwa shareholders wa ACACIA hawatawalipwa gawio kwa sababu cashflow yao imepungua kwa asilimia 80% kufuatia uamuzi wako wa kuzuia makontena ya makinikia. Hivyo hawatalipwa hadi ufumbuzi wa makontena hayo utakapopatikana.
"Sasa najiuliza mbona walisema ule mchanga tu na wala hakuna thamani? Sasa iweje leo makapi yawe na thamani ya asilimia 80% kiasi cha kufanya shareholders wakose gawio?"
Mheshimiwa Hussein Bashe
Mbunge - Nzega Mjini (CCM)
(akiongea kwenye mkutano wa hadhara wakati wa ziara ya Mheshimiwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli mkoani Tabora)
"Mheshimiwa Rais, naomba naomba nikupe taarifa - tarehe 21 Julai, Mkurugenzi Mtendaji wa ACACIA ametangaza kuwa shareholders wa ACACIA hawatawalipwa gawio kwa sababu cashflow yao imepungua kwa asilimia 80% kufuatia uamuzi wako wa kuzuia makontena ya makinikia. Hivyo hawatalipwa hadi ufumbuzi wa makontena hayo utakapopatikana.
"Sasa najiuliza mbona walisema ule mchanga tu na wala hakuna thamani? Sasa iweje leo makapi yawe na thamani ya asilimia 80% kiasi cha kufanya shareholders wakose gawio?"
Mheshimiwa Hussein Bashe
Mbunge - Nzega Mjini (CCM)
(akiongea kwenye mkutano wa hadhara wakati wa ziara ya Mheshimiwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli mkoani Tabora)