Bashe aonya: Ya Zambia yanaweza kutokea Tanzania 2015!

dalili za kifo chenyewe hakika kila mmoja wao atanena
la kwake ili kuonekana mwema machoni pa wananchi BUT its too late!!
 
Mkuu achana na huyu mnafiki kabisa;;uwezi kusema wenzako wananuka mavi wakati na wewe umejipaka mavi
atoke huko ndio aje kusema haya ..lazima ajue sata akutoka tu mmd akaingia akapata uraisi alifight mpwa
nimesoma historia yake huyu ndie kobra wa africa.

Alipigana mara nnne sio hawa wanafiki wetu wanajifanya kupigana kila mwaka alafu wakikamata hela za uchaguzi wanaweka ndani..baada ya muda unasikia wameungana na ccm ati serikali ya jumuiya laana kabisa...shame on him atoke huko kwanza ndio aje kusema upupu wake.
 
Ni busara sana kaongea, lakini nani atasimama na kumpongeza toka ndani ya CCM na kupokea hayo na kuanza kuyafanyia kazi.
 
naona sasa watu waanza kufunguka nakusema ukweli mana huo ndio utakao tuweka huru
 
Hayo yote wanayajua na hawawezi kutatua shida za wananchi na kutekeleza ahadi zao, zaidi zaidi wanatatua na kutekeleza ahadi za Familia zao tu,MAISHA BORA KWA KILA FISADI.
 
Good speech bro lakin yatatekelezwa mim kama kijana nimechoka na ccm nataka mabadiliko ili nione mambo yataendaje
 
Angalau bashe una vision na unaona mbali na kuzungumza ukweli, si kama huyo Nepi na mikakati yake ambayo inazidi kukigawa chama.
 
Funguka jomba,ila umeenda kinyume na kale ka utaratibu ketu ka kuongelea mambo km haya ndani ya vikao vya chama ili 2conyeshe udhaifu we2..
 
Huyu jamaa si anatakiwa awe Igunga? nakumbuka aliwahi kusema ngoja CCM ishindwe Igunga ili watie akili.
 
Bashe kazungumzia matatizo ya CCM. Ndo picha halisi. Call a spade a spade. Kuzunguka mbuyu haisaidii. Viongozi wengi wa CCM matatizo wanayaona lakini wanazunguka mbuyu ili wasimwage unga. Kumbe unga unaweza kumwagika hapo baadaye kma ilivyotokea zambia. Unafiki ndo tatizo letu. Matatizo ya muungano hayatatuliwi sababu ya unafiki. Mchakato wa katiba mpya haupewi msukumo sababu ya unafiki. Watu wanajali mfumo uliopo, wanaogopa mabadiliko. Hawajui kuwa maendeleo ni pamoja na kuachana na mazoea mabaya hata kama wachache wanayafaidi. Mabadiliko ni kwa ajili ya faida ya nchi nzima. Vinginevyo nchi zetu zisingepata uhuru. Ilibidi maslahi ya wachache(watawa la) yatupiliwe mbali kwa faida ya wengi. Mabadiliko yana gharama. Gharama zenyewe ni pamoja na viongozi wa upinzani kusumbuliwa na hata wakati mwingine kupoteza maisha. Ni gharama ya ukombozi.
Watawala ni wajanja sana, Nape keshaanza kuegemea kwa watawala na ule ukali wake kupungua. Walimwona na ndo maana wakamwonjesha asali. Wakampa cheo. Unakumbuka ukali wa Dr. Kabourou. Alivyokuwa anatema cheche dhidi ya CCM? Walimmulika wakamlambisha asali. Matokeo yake akaihama chadema. Mpaka sasa kule Kigoma wapenzi wake wananshangaa kilichotokea. Kaburu alitema cheche kuliko hata Zitto Kabwe. Wapambanaji wetu wawe na msimamo. Hata kama wanarubuniwa wasiyumbe. Wasiwe na tamaa binafsi. Kumbukeni baba wa Taifa marehemu Nyerere. Alikuwa na msimamo na hakuwa na ubinafsi. Kuna kipindi alijiuzuru uwaziri mkuu akamwachia Kawawa ili aende kuimarisha chama cha TANU na mapambano ya ukombozi. Nani hapa Tz sasa hivi anaweza kujiuzuru uwaziri mkuu kama sio shinikizo la kuwajibika? Majanga yanasababishwa na uzembe watu hawajiuzuru. Sembuse kwa hiari! Tunaponzwa na ubinafsi. Tunaponzwa na njaa. Na tunafikiri siasa ni suluhisho la njaa yetu. Ukombozi unahitaji vision na kujitoa mhanga. Chama tawala na serikali wakishagundua njaa ya mpambanaji watapunguza makali yake kwa kumpa cheo. Kushnei ujanja wake. Wassira si alikuwa mpambanaji! Leo ataisema nini CCM hata kama anaona madudu. Yeye ni kupiga dozi, mtajiju! Ana Tibaijuka ni mpambanaji mzuri. Alipoleta kiherehere Mkapa akamtengenezea njia akapelekwa UN HABITAT. Leo ni waziri . Atasemea wapi!
Maalim Seif na Lipumba ni wapambanaji. Lakini ndoa ya CCM na CUF huko Zanzibar inapunguza hayo makali hasa ya Maalim Seif. Watawala ni wajanja. Ukitaka kupambana inabidi ukwepe mitege yao. Mwisho ni Salva Rweyemamu. Alikuwa mpambanaji kupitia vyombo vya habari. Kikwete kamnyamazisha kwa kumteua kuwa mkurugenzi wa habari ikulu. Sasa kazi iliyobaki kwa Salva ni kuwashambulia wanasiasa wa upinzani. Mnakumbuka alivyomtukana Dr Slaa kuwa hana akili! Jeuri hiyo ilitokana na shibe pale ikulu. Angekuwa mitaani asingeyasema hayo. Bagenda naye ni mpambanaji. Alishavutwa tayari na system. Kwnte mdahalo miezi michache pale UDSM watu walimshangaa kwani ndiye aliyetumwa na CCM kuisemea. Wakasema huyu si ndiye aliyekuwa anichamba CCM? Leo uzuri wa hiki chama kauonaje? Gwiji lililobaki na msimamo ni Jenerali Ulimwengu. Huyu aliwahi kuwa hata mkuu wa wilaya. Baadaye akatoka kwenye system sababu alibaki na msimamo wake wa kukemea mabaya. Katika ngazi za kimataifa wapambanaji waliovutwa na system na kukubali mbinu za watawala ni pamoja na Raila Oginga wa Kenya pamoja na Tzvangirai wa Zimbabwe. Wapambanaji kuweni makini. Msiwe watu wa kuyumbayumba. Vinginevyo kazi ya kuleta mabadiliko hamtaiweza.
 
huyu jamaa si ni mjeruhiwa wa uchaguzi uliopita - kaanza tena chokochoko eee!!!,
 
Unafikiri ulisooma vizuri hii speeech, hebu rudia tena na tena

"I have called this press conference to say a few words. The election campaign of 2015 is over. The people of Tanzania have spoken and we must all listen. Some will be happy with what they have heard, others will not.The time now is for maturity, for composure and for compassion. To the victors, I say this: you have the right to celebrate but do so with a magnanimous heart. Enjoy the hour but remember that a term of government is for years.Remember that the next election will judge you also. Treat those who you have vanquished with the respect and humility that you would expect in your own hour of defeat.I know that all Tanzanians will expect such behaviour and I hope it will be delivered. Speaking for myself and my party, we will accept the results.


We are a democratic party and we know no other way.It is not for us to deny the Tanzanian people. We never rigged, we never cheated, and we never knowingly abused state funds. We simply did what we thought was best for Tanzania. I hope the next government will act likewise in years to come.Tanzania deserves a decent democratic process. Indeed, Tanzania must build on her past victories. Our independence was hard won, our democracy secured with blood.Tanzania must not go backwards, we must all face the future and go forward as one nation. Not to do so would dishonour our history.To my party, to the CCM candidates who did not win, the lesson is simple. Next time we must try harder. We fought a good campaign. It was disciplined. I still believe we had a good message and we reached every part of the country.We travelled to all nine provinces and we spoke to all Tanzanians. To those who worked every hour of the day, I say ‘thank you'. You have done your best. But, sadly, sometimes our best is not good enough.Do not be disheartened. The CCM will be back. We must all face the reality that sometimes it is time for change. Since 1991, the CCM has been in power. I believe we have done a good job on behalf of all Tanzanians.Mwl. Julius Nyerere led us to a genuine multi-party state and introduced the private sector to our key industries.

Tanzania was liberated by CCM ideal but maybe we became complacent with our ideals. Maybe we did not listen, maybe we did not hear.Did we become grey and lacking in ideas? Did we lose momentum? Our duty now is to go away and reflect on any mistakes we may have made and learn from them. If we do not, we do not deserve to contest power again.The Tanzania we know today was built by a CCM government. We know our place in history and we know that we can come back to lead again in the future. A new leadership will be chosen, and that leadership will be from the younger generation.My generation… the generation of the independence struggle– must now give way to new ideas; ideas for the 21st century. From this defeat, a new, younger CCM will be re-born. If I can serve that re-building, then I will.I must thank my cabinet for delivering on our promises. We did a lot of good for Tanzania. Many of our projects will blossom into bright flowers.

Some of you will be back to serve Tanzania again – I know you will do your best for your party and for your country.To the civil servants and government officials, it has been a privilege to serve with you. We have worked many long hours together. We did it not for ourselves but for Tanzania. Serve your next masters as you did me, and Tanzania will be in good hands.I must thank my family and my wife. They have stood by me and I cannot ask for more loyalty than that which they have displayed. I love you all dearly and I will always be in your debt.Being president is hard work, it takes long hours of work. And because of it, I have not always been there for you. Yet, still you were there for me.Words cannot express the depth of my love for you all. All I ask is that my family continues to serve Tanzania as I have sought to do.But my greatest thanks must go to the Tanzanian people. We may be a small country on the middle of Africa but we are a great nation. Serving you has been a pleasure and an honour. I wish I could have done more, I wish I had more time to give.Our potential is great. Our resources are impressive.

I urge you all now to rally behind your new president. Yes, we may have different ideas but we both want the same thing – a better Tanzania.Now is not the time for violence and retribution. Now is the time to unite and build tomorrow's Tanzania together. Only by working together can we achieve a more prosperous Tanzania.In my years of retirement, I hope to watch Tanzania grow. I genuinely want Tanzania to flourish. We should all want Tanzania to flourish. So, I congratulate Michael Sata on his victory.I have no ill feeling in my heart; there is no malice in my words. I wish him well in his years as president. I pray his policies will bear fruit.But now it is time for me to step aside. Now is the time for a new leader. My time is done. It is time for me to say ‘good bye'.May god watch over the Tanzanian people and may he bless our beautiful nation.I thank you.

"Japo ni Plagiarism tunajaribu tu ku-assume Hii ni hotuba ya Banda aliyoitoa juzi aliposhindwa uchaguzi
 
Huyu anasema yanaweza kutokea ana akili kweli, yatatokea tu tumechoshwa na magamba pumbavu!!
 
Huyu Al Shabab nae hana jipya anatapa tapa tu...Zambia anaijua leo! ilishindwa UNIP ya mzee Kaunda iliyoleta uhuru huko na bado ccm ikawa pale pale,sasa kutoswa Rostam Leo ndio ccm ishindwe?
Al shabab ni wewe na mama yako
 
Huyu Al Shabab nae hana jipya anatapa tapa tu...Zambia anaijua leo! ilishindwa UNIP ya mzee Kaunda iliyoleta uhuru huko na bado ccm ikawa pale pale,sasa kutoswa Rostam Leo ndio ccm ishindwe?
hii inaonesha una personal issue na bashe. Alichosema ni kweli na mimi binafsi mmenichosha, badala ya kujadili na kutatua matatizo ya nchi hii kmo bize kuvuana magamba kinafiki. Serikali gani mnachezewa hata na wasafirisha mafuta?
Muendelee kuubeza ushauri wake mtakiona 2015
ngoja kwanza nikuripoti kwa name calling
 
Kimsingi jamaa ametoa ushauri mzuri kwa chama chake. Ila ninamambo mawili ninayoweza kuzungumzia kutokana na ushauri wake.

1. Ana historia ya kusukumwa na siasa za makundi kwenye chama chake pa1 na hasira ya kupokwa nafasi ya kugombea ubunge. Hii inatupa mashaka ya kujiuliza kama anamaanisha anachokinena au ni mashambulizi kwa makundi wanayohasimiana. Hapo mashaka yanazidi matumaini!

2. Ushauri wake kwenye chama umechelewa sana hasa ukizingatia kwamba ccm ni kama mgonjwa aliyerudishwa nyumbani! Hakuna tiba tena. Inasubiri kifo tu. Ameshapewa kila dawa (ushauri?) lakini haiponi. Kwa kifupi tunajipanga na maisha yetu baada ya ccm kuanguka! Nadhani ushauri ungeifaa zaidi chama kinachotarajia ku"succeed" ccm ili nchi istawi. Kuishauri au kuisaidia ccm ni sawa kabisa na kwenda kucheza bao au draft kwa maana ya kupoteza muda!

pamoja na ushauri wake ccm imepoteza ladha,uaminifu,uadilifu mbele ya umma wa watz. Haiwezekani kuirekebisha ccm kwa namna yoyote ile. Cha msingi ianze kujisogeza pembeni taratibu.
 
Back
Top Bottom