BASATA yamfutia Usajili Msanii Dudubaya kwa kukataa wito wake

Kama vipi jamaa ahamie Kenya tu Bongo hawamuelewi haters kila kona.
Eti hata msanii wa muziki lazima ajisajili serikalini very shame! Only in TZ
 
Dudubaya alisha kwisha kimziki, na alibakiza jina ambalo pia lilikuwa linaelekea kuzimu.
Kwahivyo Dudu hakukataa wito wa basata kwa bahati mbaya, bali alikuwa anajuwa wazi kwamba kukataa wito kungemfanya afungiwe na basata ili apate lisingizio cha kusema kwamba amemalizwa na hatuwa ya kufungiwa na basata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni kutokana na msanii huyo kukataa kutii wito wa kwenda Basata kuhojiwa kutokana na matamshi yake aliyokuwa akiyatoa katika interviews alizokuwa akizifanya, na video zilizokuwa zikirushwa kwenye mitandao ya kijamii.

Hivyo Basata imesisitiza, ni marufuku kwa mtu yeyote, msanii, au kikundi cha watu kufanya kazi za sanaa na msanii Dudu Baya kuanzia leo Jumanne, Jan 07, 2020, hiyo ni baada ya Msanii Dudu Baya kukaidi kufika ofisi za Basata kwa mahojiano leo saa nne kamili asubuhi.

Msanii Dudu Baya kwa upande wake amekuwa akijitetea neno alilotumia kufi..wa lipo hata kwenye vitabu vya dini, na hata viongozi wa kidini wamekuwa wakilitumia hivyo haoni kosa lake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Viongozi wetu hawana dispute resolution skills, wamekalia mabavu tu na kujimwambafy. Obviously kama umeona unaonewa na kwakua vyombo vyetu havitoagi haki bali vinaangali ni namna gani vitapata mkate wao wa kila siku kwa jusifu na kuabudu ndio maana hakuona umuhimu wa kwenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaa wakiambiwanwatunge hata shahiri dogo lenye kina kimoja na mizani moja wataweza?
Wao hawaimbi wala hawatungu,kwanini wafungie watu wakati wenyewe hawajui chochote?
 
Kuna watu hapo wanaomsupport Dudubaya wameumia sana hao huwa wanamsupport kwa likes kule instagram kwa kutukana lakini kwa kazi zake huwa hawamsupport hakuna siku wamekuja kumsifia au kumuonya kwa kazi zake anazofanya ila kutokana anaweza kutukana basi media nyingine ambao ni wapinzan basi tunaona ameonewa sana kutokana hatutasikia tena matusi yake akitukana watu sio hatutasikia kazi zake zikichezwa kwenye media
 
Back
Top Bottom