mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,633
- 105,561
Aise dah! Kufutiwa kwake kutayumbisha uchumi wetu aise hili ni pigo kubwaaa
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu Cha kwanza kabisa walitakiwa wachunguze madai ya dudu baya je Yana ukweli? baada ya kubaini ndio wachukue hatua.umechukia huyu kenge kufungiwa ehh?
pia baraza limesisitiza kuwa halitasita kuichukulia hatua kampuni yoyote itakayofanya kazi ya sanaa na huyo punguani wenu.
lugha ya matusi na uzalilishaji haifai bwana mdogo, huyo punguani anatukana watu hovyo kaeni nae mnywe chai.Kitu Cha kwanza kabisa walitakiwa wachunguze madai ya dudu baya je Yana ukweli? baada ya kubaini ndio wachukue hatua.
hata huko kenya ataanza kutukana wasanii na wadau wa hapo Kenya.Kama vipi jamaa ahamie Kenya tu Bongo hawamuelewi haters kila kona.
Eti hata msanii wa muziki lazima ajisajili serikalini very shame! Only in TZ
Hivi ni kweli mama yake Diamond ana katoto kachanga?
Viongozi wetu hawana dispute resolution skills, wamekalia mabavu tu na kujimwambafy. Obviously kama umeona unaonewa na kwakua vyombo vyetu havitoagi haki bali vinaangali ni namna gani vitapata mkate wao wa kila siku kwa jusifu na kuabudu ndio maana hakuona umuhimu wa kwenda.Hii ni kutokana na msanii huyo kukataa kutii wito wa kwenda Basata kuhojiwa kutokana na matamshi yake aliyokuwa akiyatoa katika interviews alizokuwa akizifanya, na video zilizokuwa zikirushwa kwenye mitandao ya kijamii.
Hivyo Basata imesisitiza, ni marufuku kwa mtu yeyote, msanii, au kikundi cha watu kufanya kazi za sanaa na msanii Dudu Baya kuanzia leo Jumanne, Jan 07, 2020, hiyo ni baada ya Msanii Dudu Baya kukaidi kufika ofisi za Basata kwa mahojiano leo saa nne kamili asubuhi.
Msanii Dudu Baya kwa upande wake amekuwa akijitetea neno alilotumia kufi..wa lipo hata kwenye vitabu vya dini, na hata viongozi wa kidini wamekuwa wakilitumia hivyo haoni kosa lake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo matusi BASATA wanayosema ni yapi?