gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,045
Msanii wa bongo fleva Diamond amefungiwa kufanya onyesho lolote ndani na nje ya nchi kwa muda usiojulikana
Ngoja moto umuwakie maana kazidisha dharau sana na kutukana watu majukwaaniKijana aliota mapembe,
Akajiona Simba,
Nyodo nyingi,
Atofautishe nguvu ya mamlaka na nguvu ya Pesa!!