darubin ya mbao
JF-Expert Member
- Aug 3, 2016
- 1,893
- 4,023
Sijui nikagongeee nyagi, eeeh sijui nikagongee bananaaa eeehh...
Nadhani tukiilaumu basata huku asilimia 90% ya raia bado tunasapoti huo muziki basi tatizo linabakia kuwa ni sisi raia ndio hatupo sawa.ifike mahali kama taifa tuone hii hatari iliyopo mbele yetu, wasanii wa muziki siku hzi wanaimba matusi waziwazi tena bila uoga.
Hakuna aliye msafi kabisa wote wanaimba matusi tu yaani hata kusikiliza mbele ya watoto inakua ni aibu.
Je, ina maana BASATA hawaoni mambo haya? Wengine wameona kuimba haitoshi wameamua kuvua nguo kabisa na kupanda stejini kutumbuiza.
Tunaelekea wapi jamani?
Maamaa aminaa shii...kidude hakichomoki kidudee
Sukarii...sugar...nampaaa
Mara million moja kaswida, gospel za siku hizi mmmmmhhhhhh!!!!!, tunamchezea mungu ndomboloMtu makini siku zote husikiliza Gospel au kaswida, au bolingo za congo ila hizi za kidunia wachie wenyewe na wafanya biashara ndo ajira zao,
Unakaa na mtoto unasikiliza bongo fleva dah hamna channel ya katuni ?
Kwangu sitaki matumizi ya king'amuzi kabisa.Na waangaliaji wakubwa wa TV ni watoto wadogo, vipindi ni hiyo miziki na wawasha TV hizo ni wadada wa kazi...
Kuna kizazi fulani cha watoto kinachotengenezwa miaka hii, in near future watakuwa wamepinda hatari...
🤣🤣🤣🤣Saivi kila kitu ni biashara, mtu anafanya ili amridhishe fulani apate pesaMara million moja kaswida, gospel za siku hizi mmmmmhhhhhh!!!!!, tunamchezea mungu ndombolo
Marekani wanavaa bikin, na nyimbo wanacheza kwa bikini miaka nenda rudi ni taifa bora, ila ss uku tz kila siku madili unashangaa kitoto miaka 10 bkr hakina, amezaa, mara watu wanapigana umber ruty men kwa men wengi sanaBiashara gani inayoharibu future ya taifa la badae?
Tumekwama kuna shida kubwa sana hata hatujui nani wa kuja kutukwamua. Kwenye graduation za shule za msingi na sekondari wanapigiwa nyimbo za matusi na TV zetu zinabeba huu uchafu. Nakuunga mkono kuna wakati unajjuliza hivi hawa watoto sio watanzania ama.Huwa sina kawaida ya kukaa chini kuangalia tv kabisaaaaa. Kuna siku bahati mbaya nilikutana na mwanamuziki anaimba matusi hadi nikajiuliza hivi huyu ana wazazi kweli?
Basata wanajitahidi kwa upande wao mkuu, video za nyimbo zisizo na maadili huwa wanatoa taarifa kwa vituo vya tv kuwa wazioneshe kuanzia saa4 huko usiku na maonyo kibao kwa vituo na wasanii kujirekebisha..Hata kama ndo mambo ya kisasa lkn Tuangalie na upande wa pili
Tena hapo ndo umenena' Bora kusikiliza muziki wa bongo kuanzia 90's mpka 2009 hivi ngoma za heshima na ndo playlist yangu. Hawa wa siku hizi hatari tupu nna jirani yangu mmoja huyo akirudi tu kwake unaeza sema ana darasa la maneno ya kishenzi humo ndani si kwa mizike yake na jumamosi tuko wote jumuiya.Wanatia kinyaa mimi bongofleva ninazosikiliza ni zile za kitambo kipindi waimbaji walipokuwa bado wanaakili.
Ata Ambwene Mwasongwe mkuu? Huyu ndo binafsi yangu nyimbo zake nazikubali sanaaaaaa, anaanzaga kama kastori fuln mwisho anafanya connection na masuala ya Sir God. Hakika namwelewa na nyimbo zake zina mafundisho mengi sana. But hao wengineeeeeee, sijui labda Joel Lwanga nae anafuata uimbaji wa Ambwene ila yy anaingizia biashara sanaaaa🤣🤣🤣🤣Saivi kila kitu ni biashara, mtu anafanya ili amridhishe fulani apate pesa
Tumekwama kuna shida kubwa sana hata hatujui nani wa kuja kutukwamua. Kwenye graduation za shule za msingi na sekondari wanapigiwa nyimbo za matusi na TV zetu zinabeba huu uchafu. Nakuunga mkono kuna wakati unajjuliza hivi hawa watoto sio watanzania ama.
Nimekumbuka kijana wangu alikuja akaniuliza mama kumbe wachungaji hawatakiwi Kula kondoo? Na ushamba wangu wa bongoflava nikamwambia kondoo analiwa akaniambia na shehe anakula kitimoto😐😐😐 ndio nikashtuka kumuuliza umesikia wapi hayo? Akanijibu Nay wa mitego kaimba🙌🙌🙌🙌Ila nyimbo za sikuhizi dah..aibuu
Kuanzia huko wasafi sjui konde ggy etc wote ni matusiHuwa sina kawaida ya kukaa chini kuangalia tv kabisaaaaa. Kuna siku bahati mbaya nilikutana na mwanamuziki anaimba matusi hadi nikajiuliza hivi huyu ana wazazi kweli?