Isack Elia
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 331
- 474
Ifike mahali kama taifa tuone hii hatari iliyopo mbele yetu, wasanii wa muziki siku hizi wanaimba matusi waziwazi tena bila uoga.
Hakuna aliye msafi kabisa wote wanaimba matusi tu yaani hata kusikiliza mbele ya watoto inakua ni aibu.
Je, ina maana BASATA hawaoni mambo haya? Wengine wameona kuimba haitoshi wameamua kuvua nguo kabisa na kupanda stejini kutumbuiza.
Tunaelekea wapi jamani?
Hakuna aliye msafi kabisa wote wanaimba matusi tu yaani hata kusikiliza mbele ya watoto inakua ni aibu.
Je, ina maana BASATA hawaoni mambo haya? Wengine wameona kuimba haitoshi wameamua kuvua nguo kabisa na kupanda stejini kutumbuiza.
Tunaelekea wapi jamani?