Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Habari JF,
Baraza la Sanaa (BASATA) limemfungia mwanamuziki Roma Mkatoliki kwa muda wa miezi sita kutojihusisha na sanaa ya muziki kutokana na kutotii agizo la kubadili maudhui ya wimbo wake wa Kibamia lililotolewa na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Chanzo: Mo Blog
Baraza la Sanaa (BASATA) limemfungia mwanamuziki Roma Mkatoliki kwa muda wa miezi sita kutojihusisha na sanaa ya muziki kutokana na kutotii agizo la kubadili maudhui ya wimbo wake wa Kibamia lililotolewa na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Chanzo: Mo Blog