Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,904
- Thread starter
- #21
Ahsante mkuu. Karbu sana.Hata mi naukubali mkuu tutaongozana kuwaburuza
Hatuwezi kukubali kuondolewa farana yetu kisa tu mtu mmoja flat screen hapendi huu wimbo, haiwezekani.
Hata hakimu au jaji akifikishiwa hii kesi akaonyeshwa songi ambalo limefungiwa hatakubali lifungiwe.