Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Wadau, kwa wale mliosikia huu wimbo, maneno hayo kweli yanafaa kutumiwa kwa wimbo unaopigiwa katika vituo kama vya radio, kwenye daladala na sehemu nyingine za public?
Binafsi maneno hayo naona yana ukakasi na hivyo nashauri huu wimbo upigwe marufuku na ufanyiwe marekebisho ndio uruhusiwe kupigwa katika vituo vya radio at kusikilizwa kwenye vyombo vya usafiri kama daladal n.k.
Assume uko na mzazi wako halafu wimbo huu unapigwa sijui unajisikiaje( ukutu nae kavaa dela).
Huu wimbo unadhalilisha wanawake na walioutunga hawana maadili kabisa.
Nyimbo kama hizi zisiruhusiwe kupugwa kwwnye public lands vyumbani au nyumbani kwa watu wanaozipenda.
Ukweli ni kwamba, hata neno "chupi" tu wakati mwingine watu huona tabu kulitanka na badala yake hutumia maneno kama "kufuli" n.k.
Kila nikiusikia naona kero wacha leo niseme.
Binafsi maneno hayo naona yana ukakasi na hivyo nashauri huu wimbo upigwe marufuku na ufanyiwe marekebisho ndio uruhusiwe kupigwa katika vituo vya radio at kusikilizwa kwenye vyombo vya usafiri kama daladal n.k.
Assume uko na mzazi wako halafu wimbo huu unapigwa sijui unajisikiaje( ukutu nae kavaa dela).
Huu wimbo unadhalilisha wanawake na walioutunga hawana maadili kabisa.
Nyimbo kama hizi zisiruhusiwe kupugwa kwwnye public lands vyumbani au nyumbani kwa watu wanaozipenda.
Ukweli ni kwamba, hata neno "chupi" tu wakati mwingine watu huona tabu kulitanka na badala yake hutumia maneno kama "kufuli" n.k.
Kila nikiusikia naona kero wacha leo niseme.