314
JF-Expert Member
- Aug 29, 2016
- 585
- 901
Hivi nyie nani kawaroga kwa hiyo bendera ni kwaajili ya wacheza mpira pekee au
Muelewe akiboronha pale katika uzinduzi itakua ngumu kwa mtanzania yeyote kupata nafasi ya kuperfom kwenye issue kama zile
Akifanya vizuri basi watanzania watakua n chance kubwa ya kupata fursa ya kuperfom pia
Achenk majungu acha dogo akawakilishe nchi japo kwa dakika chache wanaolalamika acheni wivu wa kike
Kama vikundi vya sanaa tu huwa wanapewa bendera za nchi sasa diamond ana kosa lipi au hana haki ipi ili asipewe
Muelewe akiboronha pale katika uzinduzi itakua ngumu kwa mtanzania yeyote kupata nafasi ya kuperfom kwenye issue kama zile
Akifanya vizuri basi watanzania watakua n chance kubwa ya kupata fursa ya kuperfom pia
Achenk majungu acha dogo akawakilishe nchi japo kwa dakika chache wanaolalamika acheni wivu wa kike
Kama vikundi vya sanaa tu huwa wanapewa bendera za nchi sasa diamond ana kosa lipi au hana haki ipi ili asipewe