Kigongo - Busisi
Hahahaha Naibu Katibu Mkuu ana elimu gani? Natamani kujua profile yake
Daaah kwamba naibu amedanya endorsement tu😂😂😂Pengine hiyo barua imeandikwa na Wasafi chini ya Usimamizi wa Baba Levo halafu Kaimu Katibu wa Baraza yeye katakiwa kusaini tu iende hewani
Watu mnajua kuzoom dah
Wameonyesha sanaa ya kunakili na kubandika picha kwenye baruaKweli ni ujinga...
Ama kwa kuwa ni baraza la sanaa ndio wamejiongeza!
Ana Master ya financeHahahaha Naibu Katibu Mkuu ana elimu gani? Natamani kujua profile yake