Barua za kuwaita Kinana, Membe na Makamba zaota mbawa, Mikono ya Bashiru Ally yatetemeka kila akishika kalamu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,601
217,991
2253963_IMG_20191227_115000.jpeg

Hii ndio habari mpya kwa sasa, kwamba barua za kuwaita wastaafu ili wahojiwe kwenye vikao vya chama chao mpaka leo hazijaandaliwa baada ya Katibu Mkuu wa ccm ndugu Bashiru Ally kukumbwa na " Kindengu ndengu " watu wa Nyasa wanaita hali hii kama kutetemeka mikono kunakoweza kusababisha mhusika kudondosha glass ya maji au hata kushindwa kushika kalamu ya kuandikia .

Taarifa za ndani kwa ndani zinadokeza kwamba sababu ya kindengundengu hiki ni kutokana na kukosekana kwa sababu za maana za kuwaita wazee hawa kwenye kikao hicho

Tuendelee kutega sikio labda waweza kuitwa kwa njia ya Whatsapp.
 
Chanzo Tanzania Daima!! Upuuzi hahaha
 
Endeleeni kuelimisha hawa mbumbumbu jamani , Mungu atawalipa .
 
View attachment 1304608

Hii ndio habari mpya kwa sasa , kwamba barua za kuwaita wastaafu ili wahojiwe kwenye vikao vya chama chao mpaka leo hazijaandaliwa baada ya Katibu Mkuu wa ccm ndugu Bashiru Ally kukumbwa na " Kindengu ndengu " watu wa Nyasa wanaita hali hii kama kutetemeka mikono kunakoweza kusababisha mhusika kudondosha glass ya maji au hata kushindwa kushika kalamu ya kuandikia .

Taarifa za ndani kwa ndani zinadokeza kwamba sababu ya kindengundengu hiki ni kutokana na kukosekana kwa sababu za maana za kuwaita wazee hawa kwenye kikao hicho

Tuendelee kutega sikio labda waweza kuitwa kwa njia ya Whatsapp .
Mbona sababu zipo. 1. Kumsengenya masiah kwa njia ya sim
2. Kuonesha nia ya kumnyang'anya tonge mdomoni msema kweli.

Wasitutanie. Ita wahalifu hao wahojiwe
 
Back
Top Bottom