Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,986
Nimeshanga sana kuona magazeti karibu yote yakiwemo ya serikali na lile la chama hayajaandika chochote kuhusu uamuzi waziri Muhongo kuipiga 'stop' EWURA kupandisha bei ya umeme.
Katika magazeti yote niliyopitia,ni gazeti la TanzanuaDaima tu ndio limeandika hii habari wakati hata magazeti ya serikali ya Sunday news na HabariLeo pamoja ni lile la chama(Uhuru) hayajaandika chochote kuhusu uamuzi huu.
Magazeti ya MTANZANIA na JAMUHURI ndio sijayaona labda haya ndio yanaweza kuwa yameandika kuhusu hii habari.
Maswali:
Inawezekana barua hii ilitoka muda ambao magazeti mengi yalishaanza kuchapishwa hivyo ikawa vigumu habari kuandika na magazeti mengi ya leo?
Au Wahariri wameona hii habari sio muhimu?
Inawezekana kweli hii habari isiwe muhimu kwa wahariri hawa?
Au wadau hii barua ni fake?
Katika magazeti yote niliyopitia,ni gazeti la TanzanuaDaima tu ndio limeandika hii habari wakati hata magazeti ya serikali ya Sunday news na HabariLeo pamoja ni lile la chama(Uhuru) hayajaandika chochote kuhusu uamuzi huu.
Magazeti ya MTANZANIA na JAMUHURI ndio sijayaona labda haya ndio yanaweza kuwa yameandika kuhusu hii habari.
Maswali:
Inawezekana barua hii ilitoka muda ambao magazeti mengi yalishaanza kuchapishwa hivyo ikawa vigumu habari kuandika na magazeti mengi ya leo?
Au Wahariri wameona hii habari sio muhimu?
Inawezekana kweli hii habari isiwe muhimu kwa wahariri hawa?
Au wadau hii barua ni fake?