johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,768
- 141,632
Wakaukana utaifa wao?!Watanganyika ndio waliouwesha muungano na Zanzibar.
Wakaukana utaifa wao?!Watanganyika ndio waliouwesha muungano na Zanzibar.
Alipigania serikali ya Tanganyika sio Uhuru.......Sisi wenye machogo,RIP Mtikila ulipigania Uhuru wa Tanganyika.
Kuipa mamlaka Zanzibar kutaiongezea Zanzibar kunufaika na Muungano.
Tunachotakiwa kufanya ni strategic process ya kuhakikisha Zanzibar inabaki na mamlaka ya kimkoa na siyo ya kinchi.
Idadi ya watu milion 1.5 ni ndogo sana hailingani hata na mkoa wa Njombe why wasihamishiwe Tanganyika wote with incentives halafu Zanzibar iwe occupied na Christian zaramos ?
ItajengekaNdiyo mtajenga nchi au kuibomoa kabisa?
Tunapumua mkuu baada ya dhalimu kufariki na gaidi kupigwa ndani!Uko sahihi kabisa, una lingine kwa msaada zaidi?
Basi jaribuni tuoneItajengeka
Pia kuna uwezekano Zenji ingekuwa level za Ngazija pangu pakavu, lolote linawezekana.Wazenji wangeachwa peke yao wangekuwa mbali sana kiuchumi - angalia kisiwa cha Mauririus kilichopata uhuru 1968 - miaka 4 baada ya Zenj.
Wajati huo uchumi wa Mauritius ulikuwa ni miwa na wa Zenj ni karafuu, lkn leo hii mauritius ni inakaribia Ulaya kiuchumi wakati Zenj inaendelea na wimbo wake wa Mapinduzi Daima.
Mauritius nao wangejiendekeza na wimbo kama huo wasingeendela chochote.
Gaidi katili limeshajifia linaoza.Kabisa mkuu!
Sasa hivi tunapumua hakuna tena mauaji!
Magaidi yote ndani
Uliwahi kufika Pemba ukaona hali zao Na kuwasikia wenyewe ?
Gaidi katili limeshajifia linaoza.
Pia kuna uwezekano Zenji ingekuwa level za Ngazija pangu pakavu, lolote linawezekana.