Barua ya wazi kwa Wizara ya Nishati: Nashauri uandaaji wa rasilimali watu ya mafuta na gesi usimamishwe

Hashimu lwenje

JF-Expert Member
Oct 2, 2017
415
359
Poleni na majukumu yote hapo wizarani.

Sina mengi sana ya kuandika ila ninao ushauri tu.

Nao ni,

Ninawashauri msitishe kuandaa rasilimali watu ya mafuta na gesi kwa sababu tayari wasomi wa kozi za mafuta na gesi wameshakuwa wengi ukilinganisha na ajira zilizopo na zitakazo kuwepo.

Idadi imekuwa ni kubwa mnoo na ukiangalia wasomi wa kozi hizi hawawezi kutumia maarifa hayo mahali pengine popote zaidi ya upande wao wa mafuta na gesi.

Hivyo hapo solution ni kuzifuta tu. Kwasababu ninyi ndio mlio idhinisha kozi zianzishwe basi idhinisheni zifutwe.
 
Poleni na majukumu yote hapo wizarani.

Sina mengi sana ya kuandika ila ninao ushauri tu.

Nao ni,

Ninawashauri msitishe kuandaa rasilimali watu ya mafuta na gesi kwasababu tayari wasomi wa kozi za mafuta na gesi wameshakuwa wengi ukilinganisha na ajira zilizopo na zitakazo kuwepo.

Idadi imekuwa ni kubwa mnoo na ukiangalia wasomi wa kozi hizi hawawezi kutumia maarifa hayo mahali pengine popote zaidi ya upande wao wa mafuta na gesi.

Hivyo hapo solution ni kuzifuta tu. Kwasababu ninyi ndio mlio idhinisha kozi zianzishwe basi idhinisheni zifutwe.
 
Poleni na majukumu yote hapo wizarani.

Sina mengi sana ya kuandika ila ninao ushauri tu.

Nao ni,

Ninawashauri msitishe kuandaa rasilimali watu ya mafuta na gesi kwasababu tayari wasomi wa kozi za mafuta na gesi wameshakuwa wengi ukilinganisha na ajira zilizopo na zitakazo kuwepo.

Idadi imekuwa ni kubwa mnoo na ukiangalia wasomi wa kozi hizi hawawezi kutumia maarifa hayo mahali pengine popote zaidi ya upande wao wa mafuta na gesi.

Hivyo hapo solution ni kuzifuta tu. Kwasababu ninyi ndio mlio idhinisha kozi zianzishwe basi idhinisheni zifutwe.
 
Poleni na majukumu yote hapo wizarani.

Sina mengi sana ya kuandika ila ninao ushauri tu.

Nao ni,

Ninawashauri msitishe kuandaa rasilimali watu ya mafuta na gesi kwasababu tayari wasomi wa kozi za mafuta na gesi wameshakuwa wengi ukilinganisha na ajira zilizopo na zitakazo kuwepo.

Idadi imekuwa ni kubwa mnoo na ukiangalia wasomi wa kozi hizi hawawezi kutumia maarifa hayo mahali pengine popote zaidi ya upande wao wa mafuta na gesi.

Hivyo hapo solution ni kuzifuta tu. Kwasababu ninyi ndio mlio idhinisha kozi zianzishwe basi idhinisheni zifutwe.
 
Labda nitofautiane na wewe kidogo... Jukumu la kuanzisha kozi sio kuajiriwa tu bali kuziba ombwe la wataalam kwenye sekta husika. Mfano serikali inaweza amua anzisha program za kufundisha hata masekondari masuala ya gesi asilia na mafuta ili mpaka vijana wanakomaa basi tunakua na core ya watu wanaoweza kuextract madini yetu wenyewe na hta kujiajiri mfano kupitia kuanzisha private firms kusambaza gesi mpka nchi jirani n.k

Nadhani ni namna tu ya serikali kuwa utilize ila kusema ifutwe sababu ya ajira naona ni makosa hayo maana taifa halipaswi kuzalisha watafuta ajira bali wanaoweza kupewa push kusimamia rasilimali zetu kwa ufanisi hapo baadae.
 
Labda nitofautiane na wewe kidogo... Jukumu la kuanzisha kozi sio kuajiriwa tu bali kuziba ombwe la wataalam kwenye sekta husika. Mfano serikali inaweza amua anzisha program za kufundisha hata masekondari masuala ya gesi asilia na mafuta ili mpaka vijana wanakomaa basi tunakua na core ya watu wanaoweza kuextract madini yetu wenyewe na hta kujiajiri mfano kupitia kuanzisha private firms kusambaza gesi mpka nchi jirani n.k..
mkuu umeandika point za msingi sana
 
Back
Top Bottom