EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,083
Habarini za mihangaiko ndugu Watanzania.
Gesi asilia ni malighafi inayoweza kutumika kuzalisha petroli.
Ndugu zangu biashara ya mafuta ya petroli ni biashara yenye faida sana.
Kama tungejitahidi kutafuta mtaji tujenge kiwanda kimoja cha kuibadirisha gesi asilia kuwa mafuta ya petroli hakika tungeokoa fedha nyingi ambazo huwa tunazitumia kuagiza mafuta haya muhimu nje ya nchi.
Formula za kuibadirisha gesi asilia tunazo na tunazijua na tunajua ni biashara yenye faida kwanini tusijiingize huko.
Kwanini pesa ya kujengea vitua vya kujaza hiyo gesi tusizitumie kujenga viwanda vya kuibadirisha kuwa petroli biashara ambayo inafaida ya haraka?
Ndugu zangu uwezo tunao ila ushirikiano ni mdogo wataalamu tupo ila hatupewi ushirikiano wa kutoa michango yetu.
Pia kuna hii biashara ya mbolea, kwa hii gesi tuliyonayo hatukua na haja ya kuendelea kuagiza mbolea nje ya nchi tena kwasababu malighafi inayotumika kuzalisha mbolea kwenye viwanda vyote duniani ni gesi asilia.
Wizara ya kilimo mlitakiwa kuwa kipaumbele kuhakikisha mnastop kuagiza mbolea kutoka mataifa ya nje, mlitakiwa kutafuta mwekezaji ajenge kiwanda cha mbolea Mtwala huko kianze kufanya kazi kabla hata mwaka 2025 haujaisha.
Biashara ya mbolea ni biashara yenye faida, wanunuzi ni hawa hawa watanzania uzuri hata watu wa hali ya chini ni wanunuzi wa mbolea kwaajili ya kilimo.
Gesi asilia ni malighafi inayoweza kutumika kuzalisha petroli.
Ndugu zangu biashara ya mafuta ya petroli ni biashara yenye faida sana.
Kama tungejitahidi kutafuta mtaji tujenge kiwanda kimoja cha kuibadirisha gesi asilia kuwa mafuta ya petroli hakika tungeokoa fedha nyingi ambazo huwa tunazitumia kuagiza mafuta haya muhimu nje ya nchi.
Formula za kuibadirisha gesi asilia tunazo na tunazijua na tunajua ni biashara yenye faida kwanini tusijiingize huko.
Kwanini pesa ya kujengea vitua vya kujaza hiyo gesi tusizitumie kujenga viwanda vya kuibadirisha kuwa petroli biashara ambayo inafaida ya haraka?
Ndugu zangu uwezo tunao ila ushirikiano ni mdogo wataalamu tupo ila hatupewi ushirikiano wa kutoa michango yetu.
Pia kuna hii biashara ya mbolea, kwa hii gesi tuliyonayo hatukua na haja ya kuendelea kuagiza mbolea nje ya nchi tena kwasababu malighafi inayotumika kuzalisha mbolea kwenye viwanda vyote duniani ni gesi asilia.
Wizara ya kilimo mlitakiwa kuwa kipaumbele kuhakikisha mnastop kuagiza mbolea kutoka mataifa ya nje, mlitakiwa kutafuta mwekezaji ajenge kiwanda cha mbolea Mtwala huko kianze kufanya kazi kabla hata mwaka 2025 haujaisha.
Biashara ya mbolea ni biashara yenye faida, wanunuzi ni hawa hawa watanzania uzuri hata watu wa hali ya chini ni wanunuzi wa mbolea kwaajili ya kilimo.