Barua ya wazi kwa viongozi wa Dini nchini: Viongozi wa Dini acheni kutumiwa na wanasiasa, mnatia aibu

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,495
51,090
Kwako Askofu Shoo, Pengo na Shehe Mkuu na wengineo

Bila shaka mnajua kinachoendelea nchini, Bila shaka mnatambua kilichotokea nchini kufuatia uharibifu wa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Na mnajua jukumu lenu katika kukemea udhalimu na matendo yote yasiyo ya haki yanayoendelea nchini.

Hebu jiulizeni ni nini timing ya mkutano wenu huu na mkuu wa mkoa Dar es salaam, Jiulizeni ni kitu gani kipya kitakwenda kujadiliwa na mkuu huyu wakati ni takriban mwaka mmoja tu na miezi kadhaa mlikutana na Rais pale Ikulu. Jiulizeni serikali inataka nini this time around?

Ndugu viongozi wa dini, serikali inaweka kigingi mapema dhidi yenu ili msiwe UNITED na kuja na CONCENSUS moja ya kukemea Uovu, Uonevu na Udhalimu ilioufanya katika kuharibu mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa.
Serikali inachofanya leo ni kuwafanyia Charm offensive ili muone aibu kutoa kauli za kichungaji na mawaidha ya kukemea uvunjwaji wa wazi wa Haki za raia katika chaguzi.

Ndugu viongozi wa dini, Nyinyi ni Soft power yenye nguvu mno ambayo mamlaka haina, kwa hiyo ili kuidhibiti isitumike kwenye kuuamsha umma ili upate haki inajitahidi kuicontain kila mara inapoona inaharibu au inataka kuharibu.
Huu mkutano wenu ni aina ya Containment. Wanataka mkae kimya, msizungumze lolote.

Lakini nyinyi ni Wachunga ama wachungaji, Hamuwezi kuhimiza au kuhubiri amani kama hamhubiri haki, na wala hamziambii mamlaka zitende haki. Iwapo nyinyi mtajivua jukumu la kuwa mareferee wa haki baina ya sisi mnaotuchunga, basi tutataka wachungaji wengine na si lazima wawe nyinyi mnaovaa majoho makubwa huku mkila karamu katika meza za uonevu.

Leo hii kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa zimeanza halafu ghafla bin vuup mnaitwa kukaa kuongea na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, anataka kuongea nini na nyinyi zaidi ya kufikisha maelekezo na ahadi nyingi kwenu kutoka katika mamlaka zilizomteua ili kuwafunga mdomo msiseme kitu?

Maana siku hizi Modus operendi ya serikali hii ni kujaribu kuyaita makundi yote yenye ushawishi kwenye jamii na kuyapa kila moja naweza kusema "Takrima" fulani ili kuyafunga mdomo au wakati mwingine kuyatumia tu kama ngazi za kisiasa ili Umma uhadaike kuwa mambo yanakwenda vizuri.
Ndivyo utawala huu ulivyowaita Ikulu mwaka uliopita ili kuwatuliza munkari basda ya nyaraka zile mfululizo, Ndivyo utawala huu ulivyowaita wafanyabiashara Ikulu ili kupotray sense ya kuwa unajali biashara za watu na hivyo kujivua lawama za kuharibu biashara nchini, au kukutana na wasanii na kuwapa pesa na
ndivyo utawala huu ulivyoita wasimamizi wa uchaguzi serikali za mitaa Ikulu yote hii ni kujaribu kuyavuta Makundi muhimu in favor ya bwana mkubwa!

Sasa viongozi wetu wa dini, Je mnabariki udhalimu na uonevu uliotendeka nchini. katika suala hili. la uchaguzi mkuu kisa eti mnapewa audience na mamlaka kisha mkakaa na kunywa na watawala wakawafanya mjifeel good kwa kuwasmbia maneno matamu matamu kuwa nyinyi ni watu muhimu sana na blah blah kibao?

Viongozi weti wa Dini acheni Kula kwenye Karamu za wanafiki na waharibifu bali SIMAMIENI HAKI, TIMIZENI WAJIBU WENU WA KUMSEMEA ANAYEONEWA BADALA YA KUWA UPANDE WA UDHALIMU
 
Tatizo ni wako upande gani

Wakiwa upande unao waza wewe lazima uwaone ni bora

Wakiwa upande usio penda wewe lazima useme wanatumika


Naomba kila mtu mawazo yake yaheshimiwe

Kama wanavyo heshimu yako

Haki za wananchi hazitakiwi kuletewa siasa

Kuna upande mmoja tu viongozi wa dini inabidi wawe. upande wa HAKI!
 
Napata amani rohoni maana Askofu wangu Mkuu amewagomea kwenda kubariki dhuruma.

Asante sana askofu wangu...tupo pamoja.
 
Huwezi kuheshimu mawazo yanayosema, tena boldly kuwa 1+1= 3 katika natural mathematics. Hayo yatapingwa daima ili ukweli utawale
Tatizo ni wako upande gani

Wakiwa upande unao waza wewe lazima uwaone ni bora

Wakiwa upande usio penda wewe lazima useme wanatumika


Naomba kila mtu mawazo yake yaheshimiwe

Kama wanavyo heshimu yako
 
Kwako Askofu Shoo, Pengo na Shehe Mkuu na wengineo

Bila shaka mnajua kinachoendelea nchini, Bila shaka mnatambua kilichotokea nchini kufuatia uharibifu wa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Na mnajua jukumu lenu katika kukemea udhalimu na matendo yote yasiyo ya haki yanayoendelea nchini.

Hebu jiulizeni ni nini timing ya mkutano wenu huu na mkuu wa mkoa Dar es salaam, Jiulizeni ni kitu gani kipya kitakwenda kujadiliwa na mkuu huyu wakati ni takriban mwaka mmoja tu na miezi kadhaa mlikutana na Rais pale Ikulu. Jiulizeni serikali inataka nini this time around?

Ndugu viongozi wa dini, serikali inaweka kigingi mapema dhidi yenu ili msiwe UNITED na kuja na CONCENSUS moja ya kukemea Uovu, Uonevu na Udhalimu ilioufanya katika kuharibu mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa.
Serikali inachofanya leo ni kuwafanyia Charm offensive ili muone aibu kutoa kauli za kichungaji na mawaidha ya kukemea uvunjwaji wa wazi wa Haki za raia katika chaguzi.

Ndugu viongozi wa dini, Nyinyi ni Soft power yenye nguvu mno ambayo mamlaka haina, kwa hiyo ili kuidhibiti isitumike kwenye kuuamsha umma ili upate haki inajitahidi kuicontain kila mara inapoona inaharibu au inataka kuharibu.
Huu mkutano wenu ni aina ya Containment. Wanataka mkae kimya, msizungumze lolote.

Lakini nyinyi ni Wachunga ama wachungaji, Hamuwezi kuhimiza au kuhubiri amani kama hamhubiri haki, na wala hamziambii mamlaka zitende haki. Iwapo nyinyi mtajivua jukumu la kuwa mareferee wa haki baina ya sisi mnaotuchunga, basi tutataka wachungaji wengine na si lazima wawe nyinyi mnaovaa majoho makubwa huku mkila karamu katika meza za uonevu.

Leo hii kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa zimeanza halafu ghafla bin vuup mnaitwakukaa kuongea na mkuu wa mkia wa Dar es salaam, anataka kuongea nini na nyinyi zaidi ya kufikisha maelekezo na ahadi nyingi kwenu kutoka katika mamlaka zilizomteua ili kuwafunga mdomo msiseme kitu?

Maana siku hizi Modus operendi ya serikali hii ni kujaribu kuyaita makundi yote yenye ushawishi kwenye jamii na kuyapa kila moja naweza kusema "Takrima" fulani ili kuyafunga mdomo au wakati mwingine kuyatumia tu kama ngazi za kisiasa ili Umma uhadaike kuwa mambo yanakwenda vizuri.
Ndivyo utawala huu ulivyowaita Ikulu mwaka uliopita ili kuwatuliza munkari basda ya nyaraka zile mfululizo, Ndivyo utawala huu ulivyowaita wafanyabiashara Ikulu ili kupotray sense ya kuwa unajali biashara za watu na hivyo kujivua lawama za kuharibu biashara nchini, au kukutana na wasanii na kuwapa pesa na
ndivyo utawala huu ulivyoita wasimamizi wa uchaguzi serikali za mitaa Ikulu yote hii ni kujaribu kuyavuta Makundi muhimu in favor ya bwana mkubwa!

Sasa viongozi wetu wa dini, Je mnabariki udhalimu na uonevu uliotendeka nchini. katika suala hili. la uchaguzi mkuu kisa eti mnapewa audience na mamlaka kisha mkakaa na kunywa na watawala wakawafanya mjifeel good kwa kuwasmbia maneno matamu matamu kuwa nyinyi ni watu muhimu sana na blah blah kibao?

Viongozi weti wa Dini acheni Kula kwenye Karamu za wanafiki na waharibifu bali SIMAMIENI HAKI, TIMIZENI WAJIBU WENU WA KUMSEMEA ANAYEONEWA BADALA YA KUWA UPANDE WA UDHALIMU
Wenzio wako na Makonda wanapigwa msasa kwa ushuhuda wa suala la maendeleo. Mambo ya uchaguzi na Domokrasia wameamua kuwaachia ninyi

 
Tatizo ni wako upande gani

Wakiwa upande unao waza wewe lazima uwaone ni bora

Wakiwa upande usio penda wewe lazima useme wanatumika


Naomba kila mtu mawazo yake yaheshimiwe

Kama wanavyo heshimu yako
Kumbe unajua kuna pande mbili,kuwa upande unaotaka ni sawa ila unaweza ukawa upande wa dhulma na sio upande wa haki,binsafsi ningependa kuona watajwa kwenye Uzi huu wawe upande wa haki, kwasasa katika nyumba zao hawafundishi dhulma na uonevu,wanafundisha haki na upendo
 
Kumbe unajua kuna pande mbili,kuwa upande unaotaka ni sawa ila unaweza ukawa upande wa dhulma na sio upande wa haki,binsafsi ningependa kuona watajwa kwenye Uzi huu wawe upande wa haki, kwasasa katika nyumba zao hawafundishi dhulma na uonevu,wanafundisha haki na upendo
Mkuu kuna wakat nitasifiwa na upande wako ikiwa unamanufaa na Mimi

Nautanichukia ikiwa nakuletea hasara

Hawa viongozi ndio walitoa waraka mwaka Jana wakiionya selikari

Nini kilisemwa upande wa upinzani

Na nini kilisemwa upande wa selikari

Kuna wakat mitazamo inaweza kubadilika tofaut na mategemeo ya mtu anavyo hitaji yawe
 
Kwako Askofu Shoo, Pengo na Shehe Mkuu na wengineo

Bila shaka mnajua kinachoendelea nchini, Bila shaka mnatambua kilichotokea nchini kufuatia uharibifu wa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Na mnajua jukumu lenu katika kukemea udhalimu na matendo yote yasiyo ya haki yanayoendelea nchini.

Hebu jiulizeni ni nini timing ya mkutano wenu huu na mkuu wa mkoa Dar es salaam, Jiulizeni ni kitu gani kipya kitakwenda kujadiliwa na mkuu huyu wakati ni takriban mwaka mmoja tu na miezi kadhaa mlikutana na Rais pale Ikulu. Jiulizeni serikali inataka nini this time around?

Ndugu viongozi wa dini, serikali inaweka kigingi mapema dhidi yenu ili msiwe UNITED na kuja na CONCENSUS moja ya kukemea Uovu, Uonevu na Udhalimu ilioufanya katika kuharibu mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa.
Serikali inachofanya leo ni kuwafanyia Charm offensive ili muone aibu kutoa kauli za kichungaji na mawaidha ya kukemea uvunjwaji wa wazi wa Haki za raia katika chaguzi.

Ndugu viongozi wa dini, Nyinyi ni Soft power yenye nguvu mno ambayo mamlaka haina, kwa hiyo ili kuidhibiti isitumike kwenye kuuamsha umma ili upate haki inajitahidi kuicontain kila mara inapoona inaharibu au inataka kuharibu.
Huu mkutano wenu ni aina ya Containment. Wanataka mkae kimya, msizungumze lolote.

Lakini nyinyi ni Wachunga ama wachungaji, Hamuwezi kuhimiza au kuhubiri amani kama hamhubiri haki, na wala hamziambii mamlaka zitende haki. Iwapo nyinyi mtajivua jukumu la kuwa mareferee wa haki baina ya sisi mnaotuchunga, basi tutataka wachungaji wengine na si lazima wawe nyinyi mnaovaa majoho makubwa huku mkila karamu katika meza za uonevu.

Leo hii kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa zimeanza halafu ghafla bin vuup mnaitwa kukaa kuongea na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, anataka kuongea nini na nyinyi zaidi ya kufikisha maelekezo na ahadi nyingi kwenu kutoka katika mamlaka zilizomteua ili kuwafunga mdomo msiseme kitu?

Maana siku hizi Modus operendi ya serikali hii ni kujaribu kuyaita makundi yote yenye ushawishi kwenye jamii na kuyapa kila moja naweza kusema "Takrima" fulani ili kuyafunga mdomo au wakati mwingine kuyatumia tu kama ngazi za kisiasa ili Umma uhadaike kuwa mambo yanakwenda vizuri.
Ndivyo utawala huu ulivyowaita Ikulu mwaka uliopita ili kuwatuliza munkari basda ya nyaraka zile mfululizo, Ndivyo utawala huu ulivyowaita wafanyabiashara Ikulu ili kupotray sense ya kuwa unajali biashara za watu na hivyo kujivua lawama za kuharibu biashara nchini, au kukutana na wasanii na kuwapa pesa na
ndivyo utawala huu ulivyoita wasimamizi wa uchaguzi serikali za mitaa Ikulu yote hii ni kujaribu kuyavuta Makundi muhimu in favor ya bwana mkubwa!

Sasa viongozi wetu wa dini, Je mnabariki udhalimu na uonevu uliotendeka nchini. katika suala hili. la uchaguzi mkuu kisa eti mnapewa audience na mamlaka kisha mkakaa na kunywa na watawala wakawafanya mjifeel good kwa kuwasmbia maneno matamu matamu kuwa nyinyi ni watu muhimu sana na blah blah kibao?

Viongozi weti wa Dini acheni Kula kwenye Karamu za wanafiki na waharibifu bali SIMAMIENI HAKI, TIMIZENI WAJIBU WENU WA KUMSEMEA ANAYEONEWA BADALA YA KUWA UPANDE WA UDHALIMU
Waja mbona hamueleweki.?
Upande mmoja mnalilia na kupigania demokrasi na kwa upande mwingine wale ambao wanamtazamo tofauti tunataka kuwafungwe midomo.
Miaka ya nyuma wakati viongozi hao hao wadini walipokuwa wana muono tofauti na serikali , tuliwasifu sana lakini viongozi hao hao kama kuna mambo wanakubaliana na msimamo wa serikali tunawasema sana.
 
Waja mbona hamueleweki.?
Upande mmoja mnalilia na kupigania demokrasi na kwa upande mwingine wale ambao wanamtazamo tofauti tunataka kuwafungwe midomo.
Miaka ya nyuma wakati viongozi hao hao wadini walipokuwa wana muono tofauti na serikali , tuliwasifu sana lakini viongozi hao hao kama kuna mambo wanakubaliana na msimamo wa serikali tunawasema sana.

Motive ya jambo ni indicator ya nia njema au la

Huu mkutano umekaa kimtego ili kuwafunga mdomo viongozi wa dini wasikemee uonevu kwenye hili suala la serikali za mitaa
 
Kwako Askofu Shoo, Pengo na Shehe Mkuu na wengineo

Bila shaka mnajua kinachoendelea nchini, Bila shaka mnatambua kilichotokea nchini kufuatia uharibifu wa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Na mnajua jukumu lenu katika kukemea udhalimu na matendo yote yasiyo ya haki yanayoendelea nchini.

Hebu jiulizeni ni nini timing ya mkutano wenu huu na mkuu wa mkoa Dar es salaam, Jiulizeni ni kitu gani kipya kitakwenda kujadiliwa na mkuu huyu wakati ni takriban mwaka mmoja tu na miezi kadhaa mlikutana na Rais pale Ikulu. Jiulizeni serikali inataka nini this time around?

Ndugu viongozi wa dini, serikali inaweka kigingi mapema dhidi yenu ili msiwe UNITED na kuja na CONCENSUS moja ya kukemea Uovu, Uonevu na Udhalimu ilioufanya katika kuharibu mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa.
Serikali inachofanya leo ni kuwafanyia Charm offensive ili muone aibu kutoa kauli za kichungaji na mawaidha ya kukemea uvunjwaji wa wazi wa Haki za raia katika chaguzi.

Ndugu viongozi wa dini, Nyinyi ni Soft power yenye nguvu mno ambayo mamlaka haina, kwa hiyo ili kuidhibiti isitumike kwenye kuuamsha umma ili upate haki inajitahidi kuicontain kila mara inapoona inaharibu au inataka kuharibu.
Huu mkutano wenu ni aina ya Containment. Wanataka mkae kimya, msizungumze lolote.

Lakini nyinyi ni Wachunga ama wachungaji, Hamuwezi kuhimiza au kuhubiri amani kama hamhubiri haki, na wala hamziambii mamlaka zitende haki. Iwapo nyinyi mtajivua jukumu la kuwa mareferee wa haki baina ya sisi mnaotuchunga, basi tutataka wachungaji wengine na si lazima wawe nyinyi mnaovaa majoho makubwa huku mkila karamu katika meza za uonevu.

Leo hii kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa zimeanza halafu ghafla bin vuup mnaitwakukaa kuongea na mkuu wa mkia wa Dar es salaam, anataka kuongea nini na nyinyi zaidi ya kufikisha maelekezo na ahadi nyingi kwenu kutoka katika mamlaka zilizomteua ili kuwafunga mdomo msiseme kitu?

Maana siku hizi Modus operendi ya serikali hii ni kujaribu kuyaita makundi yote yenye ushawishi kwenye jamii na kuyapa kila moja naweza kusema "Takrima" fulani ili kuyafunga mdomo au wakati mwingine kuyatumia tu kama ngazi za kisiasa ili Umma uhadaike kuwa mambo yanakwenda vizuri.
Ndivyo utawala huu ulivyowaita Ikulu mwaka uliopita ili kuwatuliza munkari basda ya nyaraka zile mfululizo, Ndivyo utawala huu ulivyowaita wafanyabiashara Ikulu ili kupotray sense ya kuwa unajali biashara za watu na hivyo kujivua lawama za kuharibu biashara nchini, au kukutana na wasanii na kuwapa pesa na
ndivyo utawala huu ulivyoita wasimamizi wa uchaguzi serikali za mitaa Ikulu yote hii ni kujaribu kuyavuta Makundi muhimu in favor ya bwana mkubwa!

Sasa viongozi wetu wa dini, Je mnabariki udhalimu na uonevu uliotendeka nchini. katika suala hili. la uchaguzi mkuu kisa eti mnapewa audience na mamlaka kisha mkakaa na kunywa na watawala wakawafanya mjifeel good kwa kuwasmbia maneno matamu matamu kuwa nyinyi ni watu muhimu sana na blah blah kibao?

Viongozi weti wa Dini acheni Kula kwenye Karamu za wanafiki na waharibifu bali SIMAMIENI HAKI, TIMIZENI WAJIBU WENU WA KUMSEMEA ANAYEONEWA BADALA YA KUWA UPANDE WA UDHALIMU
Mkuu sikuelewi kusema kweli kwa hoja yako. Wewe unailaumu serikali kuwa haiwatendei haki nyie wanyonge, lakini kitendo ambacho wewe mwenyewe unakifanya cha kuwavunjia haki viongozi wa dini wasikutane na mkuu wa mkoa au kwa maana nyingine na wateule wa serikali, hilo wewe hulioni kama ni uvunjaji wa haki za binadam.

Una mamlaka gani wewe ya kumzuia mtu mwingine na mwenye akili timamu asikutane na mtu mwingine au tuseme nchi gani hiyo ambayo inafuata sheria na kanuni za katiba yake za haki za binadam ambazo zime hitishwa na kujengewa misingi na instituions za umoja wa mataifa, kuwa na watu kama wewe ambao kwa chuki tu dhidi ya Rais Magufuli ya utendaji kazi wake, ukawaamuru viongozi wa instituons za nchi na wanao julikana kimataifa kuto kutana na viongozi wa nchi au mikoa ambayo wao wana conduct activities zao za huduma kwa wananchi?

Kwa uamuzi huo ulio utoa, wewe nafikiri utakuwa masikini wa akili ndugu yangu. Na kwa hali hiyo nasikitika kukueleza kuwa hujui maana na msingi inayo simamia haki za binadam katika jukwaa la kimataifa ni nini.

Kajipange tena upya kabla hujaanza kuleta porojo zako hapa zinazo husu haki za binadam. Es ist lächerlich?

Tutaonana kwa hoja zaidi kesho asubuhi. Kabla ya hayo ningeomba kwanza unifafanulie maana ma misingi ya haki za binadam, maana tusiwe tutazungumzia mambo ambayo wewe na mimi hatuyafahamu. Ngoja nikatimize kwanza wajibu wangu wa kuwatumikia mabeberu wako. Ni hoja ya kijinga sana!
 
Mkuu sikuelewi kusema kweli kwa hoja yako. Wewe unailaumu serikali kuwa haiwatendei haki nyie wanyonge, lakini kitendo ambacho wewe mwenyewe unakifanya cha kuwavunjia haki viongozi wa dini wasikutane na mkuu wa mkoa au kwa maana nyingine na wateule wa serikali, hilo wewe hulioni kama ni uvunjaji wa haki za binadam.

Una mamlaka gani wewe ya kumzuia mtu mwingine na mwenye akili timamu asikutane na mtu mwingine au tuseme nchi gani hiyo ambayo inafuata sheria na kanuni za katiba yake za haki za binadam ambazo zime hitishwa na kujengewa misingi na instituions za umoja wa mataifa, kuwa na watu kama wewe ambao kwa chuki tu dhidi ya Rais Magufuli ya utendaji kazi wake, ukawaamuru viongozi wa instituons za nchi na wanao julikana kimataifa kuto kutana na viongozi wa nchi au mikoa ambayo wao wana conduct activities zao za huduma kwa wananchi?

Kwa uamuzi huo ulio utoa, wewe nafikiri utakuwa masikini wa akili ndugu yangu. Na kwa hali hiyo nasikitika kukueleza kuwa hujui maana na msingi inayo simamia haki za binadam katika jukwaa la kimataifa ni nini.

Kajipange tena upya kabla hujaanza kuleta porojo zako hapa zinazo husu haki za binadam. Es ist lächerlich?

Tutaonana kwa hoja zaidi kesho asubuhi. Kabla ya hayo ningeomba kwanza unifafanulie maana ma misingi ya haki za binadam, maana tusiwe tutazungumzia mambo ambayo wewe na mimi hatuyafahamu. Ngoja nikatimize kwanza wajibu wangu wa kuwatumikia mabeberu wako. Ni hoja ya kijinga sana!

Timing ya mkutano imekaa too fishy

Ni dhahiri serikali inataka kuwalainisha au kuwavuta upande wake viongozi hawa wa dini ili wasije na msimamo wa pamoja au wa mmojammoja wa kukemea uonevu unaofanywa na serikali hiyo kwenye jambo hili la uchaguzi wa serikali za mitaa

Look the big picture
 
Back
Top Bottom