Barua ya wazi kwa Rais Samia Suluh Hassan; Salam kutoka wilaya ya Ngorongoro

Bikis

Member
Feb 23, 2019
52
74
Salam kutoka wilaya Ngorongoro.

Mhe.Rais wananchi wa Ngorongoro kama walivyo Watanzania wengi walikuwa na imani na wewe lakini imani inapungua siku baada ya siku.

Mhe.rais kwa 2020 jimbo la Ngorongoro kwa nafasi ya rais mlizoa kura zaidi ya 87% na tangu uhuru wa nchi hii hili jimbo halikuwahi kwenda kwa upinzani na 2015 mkoa mzima wa Arusha baada ya uchaguzi ilikuwa jimbo pekee lilopata mbunge kutoka CCM.

Mhe.Rais lengo la barua hii ni kukuomba wewe na serikali yako kusimamisha unyakuaji wa ardhi ya wananchi wa tarafa ya Ngorongoro zaidi ya 1400kmsq, hili ni muhimu sana serikali yako ya mkoa, na wizara wakae na wananchi na watoke wakiwa na jambo moja na siyo upande wa serikali kuja na maamuzi bila kujadiliana na wananchi hao.

MHe Rais kuhusu tarafa Ngorongoro inayopatikana mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro hapa kuna janga kubwa na wahifadhi na wizara haswa naibu waziri wa mali ya asili na utalii wanakugombanisha na wananchi hao.

Wananchi waishio ndani ya mamlaka ya Ngorongoro walihamishwa na serikali ya kipindi hicho kutoka Serengeti na kuletwa Ngorongoro, kwa mkataba maalum!!

Mhe.Rais kama wanavyotishiwa na wahifadhi kwamba serikali itatumia nguvu ya kijeshi ya kuwaondoa kutoka Ngorongoro kwenda maeneo mengine tunafikiri siyo sahihi, kwani watu wapo kisheria.

Mhe.Rais ni kweli idadi ya watu wameongezeka kama watanzania wengine, na suala la uhifadhi wa ngorongoro kama jamii ya kimasai is our first priority, tuliilinda, tunailinda tutailinda Ngorongoro despite ya challenges tunazopitia kutoka kwa wahifadhi haswa mhifadhi mkuu, na kwa hili hatuna shida katika kuachia maeneo ya mapito ya wanyama kama itaonekana tunazitatiza, pia Tyr kuilinda hifadhi kama serikali na wizara mtakaa na wananchi katika meza moja ya mazungumzo!

Ni sahihi kwamba mhifadhi mkuu hajali maslahi ya jamii, anakugombanisha na wananchi wa ngorongoro lakini wananchi bado wapo tayari kushirikiana na serikali kuilinda Ngorongoro kwa maslahi ya nchi yetu na vizazi vijavyo!

Mhe.Rais wewe kama wewe fika jimboni Ngorongoro, chukua maoni ya wananchi na nina Imani wananchi watakupokea na kusikiliza kwa heshima kubwa sana, lakini kama mtaendelea kuwatumia watu kama mhifadhi mkuu manongi Serikali itaendelea kupoteza wakati na mgogoro wa style hii haitaisha kirahisi, pia usikubali kudanganywa pata nakala ya uhamisho kutoka Serengeti ilikuwaje?pima madhara makubwa ya kuwaondoa bila kufuata sheria na utaratibu!, Pia pima kaka to Invict 100,000 kwa nguvu kama itakuwa na maslahi kwa nchi??, Kwa chama chako?

Nakutakia mwaka mpya wa 2022.
Kazi iendelee
 
Mnamuangushia jumba bovu, Rais Samia hakupigiwa kura ya nafasi ya urais na wananchi wowote wa Tanzania....aliyepigiwa ni aliyekuwa ni Rais wa awamu ya tano
 
Salam kutoka wilaya Ngorongoro.

Mhe.Rais wananchi wa Ngorongoro kama walivyo Watanzania wengi walikuwa na imani na wewe lakini imani inapungua siku baada ya siku.

Mhe.rais kwa 2020 jimbo la Ngorongoro kwa nafasi ya rais mlizoa kura zaidi ya 87% na tangu uhuru wa nchi hii hili jimbo halikuwahi kwenda kwa upinzani na 2015 mkoa mzima wa Arusha baada ya uchaguzi ilikuwa jimbo pekee lilopata mbunge kutoka CCM.

Mhe.Rais lengo la barua hii ni kukuomba wewe na serikali yako kusimamisha unyakuaji wa ardhi ya wananchi wa tarafa ya Ngorongoro zaidi ya 1400kmsq, hili ni muhimu sana serikali yako ya mkoa, na wizara wakae na wananchi na watoke wakiwa na jambo moja na siyo upande wa serikali kuja na maamuzi bila kujadiliana na wananchi hao.

MHe Rais kuhusu tarafa Ngorongoro inayopatikana mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro hapa kuna janga kubwa na wahifadhi na wizara haswa naibu waziri wa mali ya asili na utalii wanakugombanisha na wananchi hao.

Wananchi waishio ndani ya mamlaka ya Ngorongoro walihamishwa na serikali ya kipindi hicho kutoka Serengeti na kuletwa Ngorongoro, kwa mkataba maalum!!

Mhe.Rais kama wanavyotishiwa na wahifadhi kwamba serikali itatumia nguvu ya kijeshi ya kuwaondoa kutoka Ngorongoro kwenda maeneo mengine tunafikiri siyo sahihi, kwani watu wapo kisheria.

Mhe.Rais ni kweli idadi ya watu wameongezeka kama watanzania wengine, na suala la uhifadhi wa ngorongoro kama jamii ya kimasai is our first priority, tuliilinda, tunailinda tutailinda Ngorongoro despite ya challenges tunazopitia kutoka kwa wahifadhi haswa mhifadhi mkuu, na kwa hili hatuna shida katika kuachia maeneo ya mapito ya wanyama kama itaonekana tunazitatiza, pia Tyr kuilinda hifadhi kama serikali na wizara mtakaa na wananchi katika meza moja ya mazungumzo!

Ni sahihi kwamba mhifadhi mkuu hajali maslahi ya jamii, anakugombanisha na wananchi wa ngorongoro lakini wananchi bado wapo tayari kushirikiana na serikali kuilinda Ngorongoro kwa maslahi ya nchi yetu na vizazi vijavyo!

Mhe.Rais wewe kama wewe fika jimboni Ngorongoro, chukua maoni ya wananchi na nina Imani wananchi watakupokea na kusikiliza kwa heshima kubwa sana, lakini kama mtaendelea kuwatumia watu kama mhifadhi mkuu manongi Serikali itaendelea kupoteza wakati na mgogoro wa style hii haitaisha kirahisi, pia usikubali kudanganywa pata nakala ya uhamisho kutoka Serengeti ilikuwaje?pima madhara makubwa ya kuwaondoa bila kufuata sheria na utaratibu!, Pia pima kaka to Invict 100,000 kwa nguvu kama itakuwa na maslahi kwa nchi??, Kwa chama chako?

Nakutakia mwaka mpya wa 2022.
Kazi iendelee
Mtandao wa DarMpya Media umeripoti makala fupi inayoonyesha hali ya Hatari ya kutoweka kwa hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro kutokana na kuingiliana kwa kasi kubwa baina ya binaadamu, mifugo, uhifadhi na wanyama pori.

Katika Makala hiyo fupi Dar mpya ambao wamerejea andiko la Gazeti la JAMVILAHABARI wameonyesha mambo mbalimbali ikiwe ujenzi wa nyumba za matofali ambazo haziruhusiwi kisheria hifadhini, Ujenzi wa Nyumba za Ghorofa ambazo haziruhusiwi Hifadhini, Kuongezeka kwa mifugo kutoka chini ya mifugo elfu hamsini hadi zaidi ya mifugo milioni moja hivi sasa, kuongezeka kwa watu kutoka watu 8000 hadi zaidi ya watu laki moja hivi sasa.

Pamoja na yote makala hii inatoa mwanga na mwelekeo chama kwa wadau wa uhifadhi, mazingira na haki za binaadamu za kutafuta suluhu ya pamoja na ya haraka.

Tafadhali fuatilia makala hii fupi kukielimisha kuhusu Ngorongoro
 
Back
Top Bottom