Barua ya wazi kwa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli

Jun 11, 2019
34
16
Ndugu Mheshimiwa Rais wetu mpendwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli,

Kabla ya yote, ninapenda kuchukua nafasi hii kukupa pole na majukumu yako ya kila siku na kukupongeza kwa utendaji wako wa kizalendo unao uonyesha katika taifa letu. Mungu azidi kukupa nguvu zaidi na moyo zaidi wa kizalendo katika kuliongoza taifa hili ili tufikie lengo letu la uchumi wa viwanda. MUNGU wetu mwenye nguvu na uweza wote azidi kukupa nguvu na maono zaidi katika kuongoza na kuliokoa taifa hili.

Ndugu Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pia nachukua fursa hii kukuomba radhi, sikupenda, niposti hii barua ndani jukwaa hili. Nimejaribu kutumia uwezo wangu wote kutafuta mawasiliano yako lakini sikufanikiwa. Nikaona bora nitume kwa njia hii nikiwa na imani kuwa, unaweza pitia kwenye jukwa hili ukaiona barua yangu.

Ndugu mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mimi ni kijana wako nina shahada katika fani ya mafuta na gesi. Nilihitimu mwaka 2016. Naandika barua hii ili kuomba msaada wako utusaidie ajira na mafunzo ya vitendo (internship) katika fani ya mafuta na gesi sisi vijana tulio hitimu shahada za mafuta na gesi Tanzania.

Ndugu Mheshimiwa Rais vijana tulio somea fani za mafuta na gesi tunayo hamu kubwa ya kufanya kazi kwa bidii kwenye serikali yetu ya awamu ya tano kwaajili ya maendeleo ya taifa letu kupitia sekta hii mpya ya mafuta na gesi. Tulijitahidi kusoma kwa bidii na kwa moyo ili kuhakikisha tunapata maarifa na ujuzi wa kutosha katika fani hizi ili tuweze kufanya kazi kwa ufanisi katika sekta hii. Walimu wetu nao pia walitufundisha kwa moyo sana na kwa nguvu zao zote ili kuhakikisha wanatoa vijana ambao watakua na maarifa na ujuzi kwaajili ya kusaidia taifa letu katika sekta hii mpya.

Sisi vijana tulio somea fani za mafuta na gesi tupo tayari kufanya kazi yoyote katika fani hizi tulizo somea ili tu na sisi tushiriki kusaidia serikali yetu ya awamu ya tano, katika kujenga uchumi wa viwanda kupitia sekta ya mafuta na gesi na kupitia maarifa na ujuzi tulio upata.

Ndugu Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nakushukuru sana kwa kusoma ombi langu, nitafurahi sana kama ombi langu litakubaliwa, MUNGU akubariki sana lakini zaidi azidi kukupa uwezo, nguvu na maono mengi zaidi katika kuliongoza taifa hili.
 
Ndugu Mheshimiwa Rais wetu mpendwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli,

Kabla ya yote, ninapenda kuchukua nafasi hii kukupa pole na majukumu yako ya kila siku na kukupongeza kwa utendaji wako wa kizalendo unao uonyesha katika taifa letu. Mungu azidi kukupa nguvu zaidi na moyo zaidi wa kizalendo katika kuliongoza taifa hili ili tufikie lengo letu la uchumi wa viwanda. MUNGU wetu mwenye nguvu na uweza wote azidi kukupa nguvu na maono zaidi katika kuongoza na kuliokoa taifa hili.

Ndugu Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pia nachukua fursa hii kukuomba radhi, sikupenda, niposti hii barua ndani jukwaa hili. Nimejaribu kutumia uwezo wangu wote kutafuta mawasiliano yako lakini sikufanikiwa. Nikaona bora nitume kwa njia hii nikiwa na imani kuwa, unaweza pitia kwenye jukwa hili ukaiona barua yangu.

Ndugu mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mimi ni kijana wako nina shahada katika fani ya mafuta na gesi. Nilihitimu mwaka 2016. Naandika barua hii ili kuomba msaada wako utusaidie ajira na mafunzo ya vitendo (internship) katika fani ya mafuta na gesi sisi vijana tulio hitimu shahada za mafuta na gesi Tanzania.

Ndugu Mheshimiwa Rais vijana tulio somea fani za mafuta na gesi tunayo hamu kubwa ya kufanya kazi kwa bidii kwenye serikali yetu ya awamu ya tano kwaajili ya maendeleo ya taifa letu kupitia sekta hii mpya ya mafuta na gesi. Tulijitahidi kusoma kwa bidii na kwa moyo ili kuhakikisha tunapata maarifa na ujuzi wa kutosha katika fani hizi ili tuweze kufanya kazi kwa ufanisi katika sekta hii. Walimu wetu nao pia walitufundisha kwa moyo sana na kwa nguvu zao zote ili kuhakikisha wanatoa vijana ambao watakua na maarifa na ujuzi kwaajili ya kusaidia taifa letu katika sekta hii mpya.

Sisi vijana tulio somea fani za mafuta na gesi tupo tayari kufanya kazi yoyote katika fani hizi tulizo somea ili tu na sisi tushiriki kusaidia serikali yetu ya awamu ya tano, katika kujenga uchumi wa viwanda kupitia sekta ya mafuta na gesi na kupitia maarifa na ujuzi tulio upata.

Ndugu Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nakushukuru sana kwa kusoma ombi langu, nitafurahi sana kama ombi langu litakubaliwa, MUNGU akubariki sana lakini zaidi azidi kukupa uwezo, nguvu na maono mengi zaidi katika kuliongoza taifa hili.
We ni msomi gani usiyeelewa mazingira tuliyonayo sasa. We unaona kuna mtu wa kukusikiliza? Unaona nchi hii kuna kiongozi?
 
Wachina ndio wanamiliki visima vyetu, nenda moja kwa moja ubalozi wa China wape nakala ya barua hiyo...
Unaonaje tukiwekeza kwenye Bio gas, huko wajanja hawajatia mkono!
 
Kozi mpya zilianzishwa za mafuta na gesi na wengine walipelekwa kwenda Norway kusomea Shahada ya masters kwenye sekta hii baada ya kubainika kuwa kuna uwekezaji mkubwa wa mafuta na gesi na hata umeme wa uhakika kupitia gesi ungekuja. Mkuu, unayemlalamikia ndiye kauwa ndoto zenu na sasa fani hiyo imekuwa ya kipuuzi.

Yupo bize anatimiza ndoto ya Nyerere ya mwaka 1976 ya kuwa na umeme wa maji kutoka huko Stiglers. In short kapiga bonge la u turn na mambo ndivyo yalivyo. Tusubirie hayo matokeo yake chanya!
 
Tulishaondoka huko kwenye utajiri wa gesi na mafuta sasa tupo kwenye SGR, ndege na Stigulaz goji. Labda mkasomee hivyo!
 
Kozi mpya zilianzishwa za mafuta na gesi na wengine walipelekwa kwenda Norway kusomea Shahada ya masters kwenye sekta hii baada ya kubainika kuwa kuna uwekezaji mkubwa wa mafuta na gesi na hata umeme wa uhakika kupitia gesi ungekuja. Mkuu, unayemlalamikia ndiye kauwa ndoto zenu na sasa fani hiyo imekuwa ya kipuuzi.

Yupo bize anatimiza ndoto ya Nyerere ya mwaka 1976 ya kuwa na umeme wa maji kutoka huko Stiglers. In short kapiga bonge la u turn na mambo ndivyo yalivyo. Tusubirie hayo matokeo yake chanya!
Kama mnazo network tuunganisheni wakuu
 
Ndugu Mheshimiwa Rais wetu mpendwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli,
Kabla ya yote, ninapenda kuchukua nafasi hii kukupa pole na majukumu yako ya kila siku na kukupongeza kwa utendaji wako wa kizalendo unao uonyesha katika taifa letu. Mungu azidi kukupa nguvu zaidi na moyo zaidi wa kizalendo katika kuliongoza taifa hili ili tufikie lengo letu la uchumi wa viwanda. MUNGU wetu mwenye nguvu na uweza wote azidi kukupa nguvu na maono zaidi katika kuongoza na kuliokoa taifa hili.
Ndugu Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pia nachukua fursa hii kukuomba radhi, sikupenda, niposti hii barua ndani jukwaa hili. Nimejaribu kutumia uwezo wangu wote kutafuta mawasiliano yako lakini sikufanikiwa. Nikaona bora nitume kwa njia hii nikiwa na imani kuwa, unaweza pitia kwenye jukwa hili ukaiona barua yangu.
Ndugu mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mimi ni kijana wako nina shahada katika fani ya mafuta na gesi. Nilihitimu mwaka 2016. Naandika barua hii ili kuomba msaada wako utusaidie ajira na mafunzo ya vitendo (internship) katika fani ya mafuta na gesi sisi vijana tulio hitimu shahada za mafuta na gesi Tanzania.
Ndugu Mheshimiwa Rais vijana tulio somea fani za mafuta na gesi tunayo hamu kubwa ya kufanya kazi kwa bidii kwenye serikali yetu ya awamu ya tano kwaajili ya maendeleo ya taifa letu kupitia sekta hii mpya ya mafuta na gesi. Tulijitahidi kusoma kwa bidii na kwa moyo ili kuhakikisha tunapata maarifa na ujuzi wa kutosha katika fani hizi ili tuweze kufanya kazi kwa ufanisi katika sekta hii. Walimu wetu nao pia walitufundisha kwa moyo sana na kwa nguvu zao zote ili kuhakikisha wanatoa vijana ambao watakua na maarifa na ujuzi kwaajili ya kusaidia taifa letu katika sekta hii mpya.
Sisi vijana tulio somea fani za mafuta na gesi tupo tayari kufanya kazi yoyote katika fani hizi tulizo somea ili tu na sisi tushiriki kusaidia serikali yetu ya awamu ya tano, katika kujenga uchumi wa viwanda kupitia sekta ya mafuta na gesi na kupitia maarifa na ujuzi tulio upata.
Ndugu Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nakushukuru sana kwa kusoma ombi langu, nitafurahi sana kama ombi langu litakubaliwa, MUNGU akubariki sana lakini zaidi azidi kukupa uwezo, nguvu na maono mengi zaidi katika kuliongoza taifa hili.
Nenda HADUBINI ya TBC 1 kilio chako kitasikika,huku mkuu huwa hapitiagi.
 
Kozi mpya zilianzishwa za mafuta na gesi na wengine walipelekwa kwenda Norway kusomea Shahada ya masters kwenye sekta hii baada ya kubainika kuwa kuna uwekezaji mkubwa wa mafuta na gesi na hata umeme wa uhakika kupitia gesi ungekuja. Mkuu, unayemlalamikia ndiye kauwa ndoto zenu na sasa fani hiyo imekuwa ya kipuuzi.

Yupo bize anatimiza ndoto ya Nyerere ya mwaka 1976 ya kuwa na umeme wa maji kutoka huko Stiglers. In short kapiga bonge la u turn na mambo ndivyo yalivyo. Tusubirie hayo matokeo yake chanya!
Utajiri wa gesi na mafuta uliowatia watu vilema, kuwaua na kuharibu mali ndio basi tena!
 
Ndugu Mheshimiwa Rais wetu mpendwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli,

Kabla ya yote, ninapenda kuchukua nafasi hii kukupa pole na majukumu yako ya kila siku na kukupongeza kwa utendaji wako wa kizalendo unao uonyesha katika taifa letu. Mungu azidi kukupa nguvu zaidi na moyo zaidi wa kizalendo katika kuliongoza taifa hili ili tufikie lengo letu la uchumi wa viwanda. MUNGU wetu mwenye nguvu na uweza wote azidi kukupa nguvu na maono zaidi katika kuongoza na kuliokoa taifa hili.

Ndugu Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pia nachukua fursa hii kukuomba radhi, sikupenda, niposti hii barua ndani jukwaa hili. Nimejaribu kutumia uwezo wangu wote kutafuta mawasiliano yako lakini sikufanikiwa. Nikaona bora nitume kwa njia hii nikiwa na imani kuwa, unaweza pitia kwenye jukwa hili ukaiona barua yangu.

Ndugu mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mimi ni kijana wako nina shahada katika fani ya mafuta na gesi. Nilihitimu mwaka 2016. Naandika barua hii ili kuomba msaada wako utusaidie ajira na mafunzo ya vitendo (internship) katika fani ya mafuta na gesi sisi vijana tulio hitimu shahada za mafuta na gesi Tanzania.

Ndugu Mheshimiwa Rais vijana tulio somea fani za mafuta na gesi tunayo hamu kubwa ya kufanya kazi kwa bidii kwenye serikali yetu ya awamu ya tano kwaajili ya maendeleo ya taifa letu kupitia sekta hii mpya ya mafuta na gesi. Tulijitahidi kusoma kwa bidii na kwa moyo ili kuhakikisha tunapata maarifa na ujuzi wa kutosha katika fani hizi ili tuweze kufanya kazi kwa ufanisi katika sekta hii. Walimu wetu nao pia walitufundisha kwa moyo sana na kwa nguvu zao zote ili kuhakikisha wanatoa vijana ambao watakua na maarifa na ujuzi kwaajili ya kusaidia taifa letu katika sekta hii mpya.

Sisi vijana tulio somea fani za mafuta na gesi tupo tayari kufanya kazi yoyote katika fani hizi tulizo somea ili tu na sisi tushiriki kusaidia serikali yetu ya awamu ya tano, katika kujenga uchumi wa viwanda kupitia sekta ya mafuta na gesi na kupitia maarifa na ujuzi tulio upata.

Ndugu Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nakushukuru sana kwa kusoma ombi langu, nitafurahi sana kama ombi langu litakubaliwa, MUNGU akubariki sana lakini zaidi azidi kukupa uwezo, nguvu na maono mengi zaidi katika kuliongoza taifa hili.
Nadhani una hoja ya msingi. Serikali hii iliwahamasisha vijana kusomea kozi hii na wengine walipelekwa nje ya nchi kwa ufadhili wa serikali kwa matumaini ya kuwaajiri katika sekta ya mafuta na gesi pindi wakihitimu.

Hivyo serikali inawajibika kwa namna yo yote ile kuwaajiri, kwani bila serikali kuwahamasisha huenda wangesomea fani zingine!
 
Nadhani una hoja ya msingi. Serikali hii iliwahamasisha vijana kusomea kozi hii na wengine walipelekwa nje ya nchi kwa ufadhili wa serikali kwa matumaini wa kuwaajiri katika sekta ya mafuta na gesi pindi wakihitimu.

Hivyo serikali inawajibika kwa namna yo yote ile kuwaajiri, kwani bila serikali kuwahamasisha huenda wangesomea fani zingine!
Nadhani una hoja ya msingi. Serikali hii iliwahamasisha vijana kusomea kozi hii na wengine walipelekwa nje ya nchi kwa ufadhili wa serikali kwa matumaini wa kuwaajiri katika sekta ya mafuta na gesi pindi wakihitimu.

Hivyo serikali inawajibika kwa namna yo yote ile kuwaajiri, kwani bila serikali kuwahamasisha huenda wangesomea fani zingine!
Mimi natamani hata siasa saivi yaani, lkn sijui wap kuanzia
 
Kweli hali ngumu sana mpaka watu mmeanza kulia kwenye mitandao.
Mkuu jiajiri kutokana na hicho ulichosomea aisee.
Ukisubiri kuajiriwa na serikali utakufa masikini.
Tafuta marafiki zako hata watatu mchange mtaji then fungueni kampuni itakayohusu maswala ya nishati after two years mtakuwa mbali sana na hautataka kuajiriwa tena.
 
Ndugu Mheshimiwa Rais wetu mpendwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli,

Kabla ya yote, ninapenda kuchukua nafasi hii kukupa pole na majukumu yako ya kila siku na kukupongeza kwa utendaji wako wa kizalendo unao uonyesha katika taifa letu. Mungu azidi kukupa nguvu zaidi na moyo zaidi wa kizalendo katika kuliongoza taifa hili ili tufikie lengo letu la uchumi wa viwanda. MUNGU wetu mwenye nguvu na uweza wote azidi kukupa nguvu na maono zaidi katika kuongoza na kuliokoa taifa hili.

Ndugu Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pia nachukua fursa hii kukuomba radhi, sikupenda, niposti hii barua ndani jukwaa hili. Nimejaribu kutumia uwezo wangu wote kutafuta mawasiliano yako lakini sikufanikiwa. Nikaona bora nitume kwa njia hii nikiwa na imani kuwa, unaweza pitia kwenye jukwa hili ukaiona barua yangu.

Ndugu mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mimi ni kijana wako nina shahada katika fani ya mafuta na gesi. Nilihitimu mwaka 2016. Naandika barua hii ili kuomba msaada wako utusaidie ajira na mafunzo ya vitendo (internship) katika fani ya mafuta na gesi sisi vijana tulio hitimu shahada za mafuta na gesi Tanzania.

Ndugu Mheshimiwa Rais vijana tulio somea fani za mafuta na gesi tunayo hamu kubwa ya kufanya kazi kwa bidii kwenye serikali yetu ya awamu ya tano kwaajili ya maendeleo ya taifa letu kupitia sekta hii mpya ya mafuta na gesi. Tulijitahidi kusoma kwa bidii na kwa moyo ili kuhakikisha tunapata maarifa na ujuzi wa kutosha katika fani hizi ili tuweze kufanya kazi kwa ufanisi katika sekta hii. Walimu wetu nao pia walitufundisha kwa moyo sana na kwa nguvu zao zote ili kuhakikisha wanatoa vijana ambao watakua na maarifa na ujuzi kwaajili ya kusaidia taifa letu katika sekta hii mpya.

Sisi vijana tulio somea fani za mafuta na gesi tupo tayari kufanya kazi yoyote katika fani hizi tulizo somea ili tu na sisi tushiriki kusaidia serikali yetu ya awamu ya tano, katika kujenga uchumi wa viwanda kupitia sekta ya mafuta na gesi na kupitia maarifa na ujuzi tulio upata.

Ndugu Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nakushukuru sana kwa kusoma ombi langu, nitafurahi sana kama ombi langu litakubaliwa, MUNGU akubariki sana lakini zaidi azidi kukupa uwezo, nguvu na maono mengi zaidi katika kuliongoza taifa hili.
Dah..
Ktk kipindi ambacho vijana wa taifa hili wanapita kipindi kigumu basi ni sasa yaani ni vilio kila mahali.

Pia jichanganye sio lzma ufanye kile ulichosomea try new things hata kuuza Mafuta ya taa kitaa kwa rejareja sio mbaya.
 
hii ndio shida ya hawa wasomi wetu,kwani mmesoma kwa ajili ya kuajiriwa tuuu?? Sasa kwa taarifa yako hata ulie vp hupati ajira,kwa yeye hana mpango na hayo mambo ya gesi,yeye anahangaka na mradi wake wa mto rufiji
 
Pole sana Mkuu. Ila siku nyingine acha ubinafsi utaenda mbali sana. Unadhani ni wewe tuu huna ajira. Barua yako ingejumuisha vijana wote wafikiriwe na serikali lakini kuomba binafsi si dalili nzuri.
 
We ni msomi gani usiyeelewa mazingira tuliyonayo sasa. We unaona kuna mtu wa kukusikiliza? Unaona nchi hii kuna kiongozi?
Bora nipigwe ban kwa mara ya tatu. Wewe ni msenge tafakakari sana ujumbe wa huyu kijana na uchukue hatua. Great Thinker.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom