Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,601
- 94,726
Naona mmeanzisha mjadala wa udini sasa mnataka kuchafua hali ya hewa.Kuna mambo wengi ya kidhalimu Jakaya aliyafanya enzi ya utawala wake yakiwemo kuua watu, mfano ni jinsi alivyoamuru kuuliwa kwa mwandishi Mwangosi kule Iringa na baadae kumpandisha cheo Kiongozi wa operation ile! Watu wengi pia waliteswa kwa kusimamia HAKI akiwemo Dr. Ulimboka.
Huyu mkwere alikuwa Kiongozi dhalimu lakini mnafiki na aliwahadaa watu kwa kucheka Cheka!