Barua ya wazi kwa Mzee Jakaya Mrisho Kikwete: Hivi wakati unaweka ndani Masheikh wetu ulikuwa unafikiria nini?

Kuna mambo wengi ya kidhalimu Jakaya aliyafanya enzi ya utawala wake yakiwemo kuua watu, mfano ni jinsi alivyoamuru kuuliwa kwa mwandishi Mwangosi kule Iringa na baadae kumpandisha cheo Kiongozi wa operation ile! Watu wengi pia waliteswa kwa kusimamia HAKI akiwemo Dr. Ulimboka.

Huyu mkwere alikuwa Kiongozi dhalimu lakini mnafiki na aliwahadaa watu kwa kucheka Cheka!
Naona mmeanzisha mjadala wa udini sasa mnataka kuchafua hali ya hewa.
 
Hapo akili kichwani mwako,serikali imeandaa Ushaidi dhidi ya ugaidi wa mbowe, hila mpk viongozi wa dini ya kikristo wanapinga kuwa sio kweli kasingiziwa, hila angekuwa wa upande mwingine ungesikia wanavyofurahi kuwa hajaonewa.
Wacha ujinga wewe inakuwaje unafanya mizaha na imani za watu?
 
Bwana "Kombora la Taifa" labda nikwambie tu, kuna wakati mambo ya Dola na usalama wa nchi huwa ni magumu sana kuyaletea ushabiki.

Wangekuwa ni viongozi wa CDM tungesema. JK ni CCM anakandamiza CDM, wangekuwa ni wakristo tungesema JK Muislamu anakandamiza Ukristo, wale ni masheikh wa kiislam na JK ni muislam naamini lipo jambo ambalo kuna wakati raia hatupaswi kuhoji bali kuamini tu Dola inatenda sawa kutulinda..

Wale wahuni wa mkulanga, Tanga na kule kibiti wengine informers wao na supplier + coordinators wao tulikuwa tunaishi nao mtaani kuwatarget na kuwatia mkononi ni kazi ya Dola kimyakimya.

Si ajabu leo hii ukiwekewa hadharani ya bwana mabunduki pale french embassy unaweza kustaajabu lakini inabaki kuwa taarifa za dola.

Kupatikana kwa Osama Bin laden na kuuwawa kulitokana na taarifa kutoka kwa mtoto mchunga kondoo kule tora bora wakati tena mambo yameshapoa. U-smart wa akili wa wale USA uliwafanya kutomdharau yule dogo na baadaye kuishia kumtesa guatanamo kupata proper lead.
Case closed.....
 
Kwahiyo wewe umewaona mashehe tu ?

Hakuna watuhumiwa wengine walio ingia jela kabla ya mashehe lkn nado gerezani?
Hata mheshimiwa Mbowe nshaandika threads maalumu kumhusu ili aachiwe kwenye hii kesi yake ya Ugaidi.

Na nilivyofanya hivyo sikuulizwa na wewe au wajumbe wengine humu JF kuwa umemuona Mbowe tu, mbona wengine huwaandiki?
 
Hata mheshimiwa Mbowe nshaandika threads maalumu kumhusu ili aachiwe kwenye hii kesi yake ya Ugaidi.

Na nilivyofanya hivyo sikuulizwa na wewe au wajumbe wengine humu JF kuwa umemuona Mbowe tu, mbona wengine huwaandiki?
Mbowe hajamaliza hata miezi 4 gerezani.
Naongelea waliopo gerezani muda mrefu zaidi ya hao mashehe!
 
Hata mheshimiwa Mbowe nshaandika threads maalumu kumhusu ili aachiwe kwenye hii kesi yake ya Ugaidi.

Na nilivyofanya hivyo sikuulizwa na wewe au wajumbe wengine humu JF kuwa umemuona Mbowe tu, mbona wengine huwaandiki?
Ungeongelea mfumo mzima wa kiuchunguzi kuanzia polisi hadi uendeshaji wa mahakama kwa ujumla ungeungwa mkono.

Maana hapa nakuona unalaumu ulipo anguka kuliko kutafuta wapi ulijikwaa.
 
Linapokuja suala kama hili wengi hapa JF huwa hawako sympathetic na Waislamu, sijui kwa nini!

Huwezi kuona hoja za Ulinzi na usalama zikiapply kwa kesi ya Mbowe, huwa tunaconclude kuwa Mbowe kaonewa. Ila kwa Masheikh huwa tunasema serikali "inalinda" nchi dhidi ya ugaidi
Siku utakayojifunza kushikamana na Mungu badala ya dini hautakuwa na lugha ya kuwagawa watu "makundi makundi". Utawatazama watu kwa usawa na haki.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Mzee Jakaya!

Shikamoo mzee, nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania

Naomba nikupe taarifa tu kuwa jela kuna Masheikh zaidi ya 150 , na wengi wao waliwekwa ndani kipindi cha utawala wako. Hivi mzee ulikuwa unafikiria nini kwa mambo haya?

Ninafahamu kuwa wewe personally siyo mtu mbaya, na nimekuwa nikiamini sana kuwa una utu sana ndani yako. Na kwa kweli umetenda mambo mengi mazuri sana kwa nchi yetu, ikiwemo miundo mbinu, kuongezeka kwa udahili wa wanafunzi vyuo vikuu, masilahi ya watumishi, ajira na demokrasia na mambo mengi tu.

Lakini kuna jambo moja huwa linanitazi sana mzee wangu. nalo linahusu HAKI, Hivi wakati serikali yako inachukua uamuzi wa kuwaweka ndani waja hawa na watumishi wa "MUUMBA MBINGU NA NCHI" ulikuwa ukifikiria nini haswa?

Masheikh wa uamsho walikaa ndani kwa miaka zaidi ya saba, serikali yako ndiyo iliiyowaweka ndani kwa kesi ya Ugaidi, serikali yako ikashindwa kuthibitisha ugaidi wao mahakamani, na serikali zilizofuata nazo zikashindwa kuthibitisha ugaidi wao kwa muda wa miaka yote hiyo nane. Mwishowe DPP akafuta kesi bila kutoa sababu, yaani akasema hana nia ya kuendelea na kesi hiyo. Hivi Mzee wetu Jakaya, unafahamu vizuri kuhusu Mwenyezi Mungu anavyosema kwenye Qur'an juu ya watu wasiotenda haki katika ardhi?

Mheshimiwa Jakaya, Jana Sheikh Ponda amekwenda Magerezani kuonana na Masheikh wengine ambao walikamatwa mwaka 2013 wakati wewe ukiwa rais, na mpaka leo serikali haijathibitisha tuhuma zao za Ugaidi. Mzee wangu hivi kweli ulifanya fair kwa waja hawa wa Mwenyezi Mungu?.

Bila shaka umesomasoama masuala ya dini ya kiislamu, unajua vizuri kisa cha nabii Yusufu kuwekwa gerezani kwa kosa ambalo wala hakulifanya, Je umewahi kujiuliz Dhimma uliyo nayo mbele ya Mwenyezi Mungu kwa hili jambo la kuwaweka ndani Watumisha wa MWINGI WA REHMA bila haki?

Mzee naamini wewe ni mtu mwenye access na Rais Samia, nakuomba kwa heshima na taadhima tumia nafasi hii ya access uliyonayo kumuomba Rais Samia afute kesi na awaachie huru masheikh hawa watumishi wa MWINGI WA REHMA.

Mzee Jakaya, ulichowafanyia waja hawa wa Mwenyezi Mungu siyo sawa, Nakuomba ufanye jitihada zako kurekebisha hili suala!

Nikukumbushe tu, miongoni mwa hawa uliowaweka ndani katika utawala wako bila ushahidi, miongoni mwao wamo waliokupigania sana kisiasa kwenye uchaguzi wa mwaka 2010, wakati huo ulikuwa na hali mbaya sana mbele ya Dr Slaa , mzee kumbuka hilo!

Wako katika Ujenzi wa Taifa
Missile of the Nation!
Nivile ujui usipelekwe na hisia tafuta habari za kina ila ni waarifu na kuwaachia ni makosa kwani ilitakiwa watolewe na mahakama ila naamini idara husika zinawaangalia kwa macho ya ziada.
 
Mbowe hajamaliza hata miezi 4 gerezani.
Naongelea waliopo gerezani muda mrefu zaidi ya hao mashehe!
Licha ya kuwa Mbowe ana miezi minne tu Jela tayari nshaadika mada kibao hapa JF za kutaka aachiwe huru, lakini nashangaa inapokuja kuhusu wale waliokaa jela miaka minane bila ushahidi wa kuwafunga unaona tabu sana nao tukiwaandalia mada kutaka waachiwe huru!. Vipi kwani una something personal kuhusu Waislamu au?

Kuhusu aina ya mada za kuanzisha, kila mwana JF ana haki ya kuanzisha mada, unaonaje ukaianzisha hiyo mada unayodhani inafaa?
 
Licha ya kuwa ana miezi minne Jela tayari nshaadika mada hapa JF zaidi ya moja ili aachiwe huru lakini wale waliokaa jela miaka minane bila ushahidi wa kuwafunga unaona tabu sana nao tukiwaandalia mada kutaka waachiwe huru!

Kuhusu aina ya mada za kuanzisha kila mwana JF ana haki ya kuanzisha mada, unaonaje ukaianzisha hiyo mada unayodhani inafaa?
Nimekuelewa ndugu yangu wacha niangalie nami ni jinsi gani ya kuwasemea hata wale wasiyo na mtetezi.
 
Watawala huwa wanapatwa na upofu wa akili pindi wapatapo madaraka .

Hutenda kwa uovu ili baadae wakiwa hawapo kwenye hatamu waandike vitabu "eti najutia kufanya hivi na vile .."

Wengine hutafuta sababu ya kujionyesha kwamba hawayumbishwi na misimamo yao hata kama ni ya kifedhuli.

Wanasiasa bhana huwa wanafurahisha sana
 
Mzee Jakaya!

Shikamoo mzee, nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania

Naomba nikupe taarifa tu kuwa jela kuna Masheikh zaidi ya 150 , na wengi wao waliwekwa ndani kipindi cha utawala wako. Hivi mzee ulikuwa unafikiria nini kwa mambo haya?

Ninafahamu kuwa wewe personally siyo mtu mbaya, na nimekuwa nikiamini sana kuwa una utu sana ndani yako. Na kwa kweli umetenda mambo mengi mazuri sana kwa nchi yetu, ikiwemo miundo mbinu, kuongezeka kwa udahili wa wanafunzi vyuo vikuu, masilahi ya watumishi, ajira na demokrasia na mambo mengi tu.

Lakini kuna jambo moja huwa linanitazi sana mzee wangu. nalo linahusu HAKI, Hivi wakati serikali yako inachukua uamuzi wa kuwaweka ndani waja hawa na watumishi wa "MUUMBA MBINGU NA NCHI" ulikuwa ukifikiria nini haswa?

Masheikh wa uamsho walikaa ndani kwa miaka zaidi ya saba, serikali yako ndiyo iliiyowaweka ndani kwa kesi ya Ugaidi, serikali yako ikashindwa kuthibitisha ugaidi wao mahakamani, na serikali zilizofuata nazo zikashindwa kuthibitisha ugaidi wao kwa muda wa miaka yote hiyo nane. Mwishowe DPP akafuta kesi bila kutoa sababu, yaani akasema hana nia ya kuendelea na kesi hiyo. Hivi Mzee wetu Jakaya, unafahamu vizuri kuhusu Mwenyezi Mungu anavyosema kwenye Qur'an juu ya watu wasiotenda haki katika ardhi?

Mheshimiwa Jakaya, Jana Sheikh Ponda amekwenda Magerezani kuonana na Masheikh wengine ambao walikamatwa mwaka 2013 wakati wewe ukiwa rais, na mpaka leo serikali haijathibitisha tuhuma zao za Ugaidi. Mzee wangu hivi kweli ulifanya fair kwa waja hawa wa Mwenyezi Mungu?.

Bila shaka umesomasoama masuala ya dini ya kiislamu, unajua vizuri kisa cha nabii Yusufu kuwekwa gerezani kwa kosa ambalo wala hakulifanya, Je umewahi kujiuliz Dhimma uliyo nayo mbele ya Mwenyezi Mungu kwa hili jambo la kuwaweka ndani Watumisha wa MWINGI WA REHMA bila haki?

Mzee naamini wewe ni mtu mwenye access na Rais Samia, nakuomba kwa heshima na taadhima tumia nafasi hii ya access uliyonayo kumuomba Rais Samia afute kesi na awaachie huru masheikh hawa watumishi wa MWINGI WA REHMA.

Mzee Jakaya, ulichowafanyia waja hawa wa Mwenyezi Mungu siyo sawa, Nakuomba ufanye jitihada zako kurekebisha hili suala!

Nikukumbushe tu, miongoni mwa hawa uliowaweka ndani katika utawala wako bila ushahidi, miongoni mwao wamo waliokupigania sana kisiasa kwenye uchaguzi wa mwaka 2010, wakati huo ulikuwa na hali mbaya sana mbele ya Dr Slaa , mzee kumbuka hilo!

Wako katika Ujenzi wa Taifa
Missile of the Nation!
Hao walikua magaidi sio masheikh
 
Mzee Jakaya!

Shikamoo mzee, nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania

Naomba nikupe taarifa tu kuwa jela kuna Masheikh zaidi ya 150 , na wengi wao waliwekwa ndani kipindi cha utawala wako. Hivi mzee ulikuwa unafikiria nini kwa mambo haya?

Ninafahamu kuwa wewe personally siyo mtu mbaya, na nimekuwa nikiamini sana kuwa una utu sana ndani yako. Na kwa kweli umetenda mambo mengi mazuri sana kwa nchi yetu, ikiwemo miundo mbinu, kuongezeka kwa udahili wa wanafunzi vyuo vikuu, masilahi ya watumishi, ajira na demokrasia na mambo mengi tu.

Lakini kuna jambo moja huwa linanitazi sana mzee wangu. nalo linahusu HAKI, Hivi wakati serikali yako inachukua uamuzi wa kuwaweka ndani waja hawa na watumishi wa "MUUMBA MBINGU NA NCHI" ulikuwa ukifikiria nini haswa?

Masheikh wa uamsho walikaa ndani kwa miaka zaidi ya saba, serikali yako ndiyo iliiyowaweka ndani kwa kesi ya Ugaidi, serikali yako ikashindwa kuthibitisha ugaidi wao mahakamani, na serikali zilizofuata nazo zikashindwa kuthibitisha ugaidi wao kwa muda wa miaka yote hiyo nane. Mwishowe DPP akafuta kesi bila kutoa sababu, yaani akasema hana nia ya kuendelea na kesi hiyo. Hivi Mzee wetu Jakaya, unafahamu vizuri kuhusu Mwenyezi Mungu anavyosema kwenye Qur'an juu ya watu wasiotenda haki katika ardhi?

Mheshimiwa Jakaya, Jana Sheikh Ponda amekwenda Magerezani kuonana na Masheikh wengine ambao walikamatwa mwaka 2013 wakati wewe ukiwa rais, na mpaka leo serikali haijathibitisha tuhuma zao za Ugaidi. Mzee wangu hivi kweli ulifanya fair kwa waja hawa wa Mwenyezi Mungu?.

Bila shaka umesomasoama masuala ya dini ya kiislamu, unajua vizuri kisa cha nabii Yusufu kuwekwa gerezani kwa kosa ambalo wala hakulifanya, Je umewahi kujiuliz Dhimma uliyo nayo mbele ya Mwenyezi Mungu kwa hili jambo la kuwaweka ndani Watumisha wa MWINGI WA REHMA bila haki?

Mzee naamini wewe ni mtu mwenye access na Rais Samia, nakuomba kwa heshima na taadhima tumia nafasi hii ya access uliyonayo kumuomba Rais Samia afute kesi na awaachie huru masheikh hawa watumishi wa MWINGI WA REHMA.

Mzee Jakaya, ulichowafanyia waja hawa wa Mwenyezi Mungu siyo sawa, Nakuomba ufanye jitihada zako kurekebisha hili suala!

Nikukumbushe tu, miongoni mwa hawa uliowaweka ndani katika utawala wako bila ushahidi, miongoni mwao wamo waliokupigania sana kisiasa kwenye uchaguzi wa mwaka 2010, wakati huo ulikuwa na hali mbaya sana mbele ya Dr Slaa , mzee kumbuka hilo!

Wako katika Ujenzi wa Taifa
Missile of the Nation!
Katika mtu mbaya na hatari kama Kikwete hakuna, mbele ya watu anajichekesha aonekane ni mwema lakini nyuma ya pazia yeye ndio Injinia mkuu wa mambo mengi .
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom