BARUA YA WAZI KWA Mr. Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer

Status
Not open for further replies.
Karibuni hapa ghetto tutizame mechi ya Urusi dhidi ya Ubelgiji. Sasa natizama build up.

Halafu ile mechi ya Denmark dhidi ya Finland nayo inaendelea baada ya kusimamishwa kutokana na kuanguka ghafla uwanjani kwa Christian Eriksen.
 
Ni muda mrefu sana huyu jamaa nimekuwa namfatilia huyu jamaa..Anaandika vitu vingi some are logical na mengine are not logical...Hapa simlaumu maana kila mtu ana uhuru wa kuandika anachojisikia as long as havunji sheria za JF. Tatizo kubwa la huyu ndugu yetu ni kuamini kila anachokifahamu yeye au alichokiandika yeye ndio sahihi kiasi kwamba ukimpinga hata kwa hoja anakuja na matusi juu na lugha nyingi za kuudhi...Popoma ndio tusi lake maarufu sana.​

USHAURI WA BURE:
Wewe jamaa sio perfect kiasi kwamba hukosei...acha mambo ya kutusi na kutolea lugha chafu karibia kila mtu ambae atakosoa/atakataa kile ulichokiandika au kukiamini...Unaboa kinoma mkuu...waache watu wawe free kuchangia wanachojisikia sio kutaka tu wale wanaosapoti ulichokisema..wewe ni nani hadi usikosee?...Are you an angel?...Acha upopoma mkuuu!

Kinachoumiza zaidi, wengine wanakukosoa kwa lugha za kistaarabu tu lakini jinsi unavyowajibu naamini kabisa wanajisikia vibaya..Sasa mimi ni mtetezi wao...Acha ushamba na ubabe wa kule kwenu kanda maalumu ukiwa humu ndani..Matusi yako kwa kila anayekukosoa yanakufanya hata usionekane kama ni game changer....They make you look like a useless sub and not a game changer as you have always been addressing yourself....ACHA USHAMBA.

Sio kwamba nakuchukia hapana, ila ujue tu kauli zako chafu huwa zinawaboa wengi...Toka nijiunge JF sikuwahi kupigwa ban..ila siku moja wewe umepost kitu nikakuuliza swali moja ili nijifunze maana sikuwa naelewa ila ukanitafsiri kama nakudhihaki..ukaja na kauli chafu juu, namimi nikajaa nikarudisha shambulizi (Huwa silipi wema kwa ubaya)...nadhani ilikuuma ukakimbilia kwa mods wakaniweka lock up (Ban) kwa muda mrefu..nilikaa nje ya dimba nikikosa madini na taarifa muhimu humu ndani kutoka kwa wenye madini kama INFANTRY SOLDIER na MSHANA JR...This was three months ago...

Hivi huoni wenzio wakikosolewa kwa hoja wanajibu kistaarabu?......Unadhani kila unachokiandika kiko sahihi 100%...YOU ARE WRONG!!!!!!!!!!!!!

Sijui na hii utashitaki ili nipigwe ban?...
GENTA?
 
Ahhahaha jenta kashikwa leo
Na Wewe unawaamini hawa Wapumbavu kuwa ID iliyoanzisha Uzi huu ni Mimi hivyo hapa najipigia tu Promo? Usichokijua tu ni kwamba JF nina Maadui wengi tena wenye Upumbavu wa Kutovumilika ambao wanaumia na kukwaza mno na Fame yangu Kubwa hapa pamoja na aina ya Uwasilishaji wangu wa Hoja hivyo njia pekee Kwao ni Kunichokoza na Kunichafua kama hivi wakiamini kuwa watanimaliza na kunididimiza ila wanasahau tu ya kwamba kadri wanavyozidi Kunijadili hapa JamiiForums ndiyo wanazidi tu kuniongezea Umaarufu na Followers kila Uchao.

Kwa Kukusaidia tu ni kwamba aliyeanzisha huu Uzi si kwamba labda hayupo nasi hapa hivi sasa ila ameanzisha huu Uzi kwa ID yake ambayo huwa haitumii mara kwa mara illi atimize lengo lake ila hivi sasa nae anachangia kwa ID yake Kongwe ( Zoeleka ) huku akiwa na Kikundi cha Wenzake ( Members ) ambao wameshajipanga kuwa Yeye akianzisha tu Mada ( Uzi ) huu wao waanze Kunishambulia. Huu ni mwaka wa nane ( 8 ) sasa nipo hapa Jamvini ( JamiiForums ) hivyo nimeshajifunzxa mengi na najua mbinu za Wapumbavu kama Mleta Mada kwa alichofanya Kwangu.

Namalizia kwa kutoa Ombi kwa Uongozi mzima wa JamiiForums wachungune hii ID iliyoanzisha Mada ( Uzi ) huu na kama kwa Uwezo wao pamoja na Uzoefu wao wakiigundua hiyo ID ya Fohadi ni yangu Mimi GENTAMYCINE naomba wanipe Adhabu ya PERMANENT BAN hapa JamiiForums kwani nimeshachoka sasa kila Siku kusingiziwa ID's mbalimbali ( za Watu ) hapa JamiiForums na nasikitika mno Uongozi wa JamiiForums mnaacha huu Uzushi kuendelea dhidi yangu na kuruhusu pia Watu waje na Agenda zao za Kunichokoza na Kunizushia kama hivi na Kuwachekea halafu nami nikiwajibu hovyo mnakimbilia kunipa BAN. Inakera sana tu.

Cc: Invisible, Moderator, Paw na JamiiForums
 
Hivi amewahi pata ban??
Nyingine ni kama hii inayoenda kunitokea kwani Moderators wanaona kabisa huu Uzi umeanzishwa kwa AGENDA ya Kunichokoza ili nikasirike na niwajivu Watu hapa vibaya ili wanipige BAN zao za miezi Mitatu Mitatu. Wala huhitaji Akili kubwa sana kujua ya kwamba huu Uzi umeanzishwa Kimkakati ili kunitafutia BAN ya lazima kwakuwa wanajua huwa sivumilii Upumbavu na huenda ndiyo maana sasa umeachwa hadi upo Ukurasa wa Nne ( 4 ) na huenda wanauacha Kwanza ili GENTAMYCINE niendelee Kuchafuliwa na Kudhihakiwa ili lengo lao litimie ndipo ukifika Ukurasa wa 45 ndipo waufute ( wauondoe ) rasmi.
 
Nyingine ni kama hii inayoenda kunitokea kwani Moderators wanaona kabisa huu Uzi umeanzishwa kwa AGENDA ya Kunichokoza ili nikasirike na niwajivu Watu hapa vibaya ili wanipige BAN zao za miezi Mitatu Mitatu. Wala huhitaji Akili kubwa sana kujua ya kwamba huu Uzi umeanzishwa Kimkakati ili kunitafutia BAN ya lazima kwakuwa wanajua huwa sivumilii Upumbavu na huenda ndiyo maana sasa umeachwa hadi upo Ukurasa wa Nne ( 4 ) na huenda wanauacha Kwanza ili GENTAMYCINE niendelee Kuchafuliwa na Kudhihakiwa ili lengo lao litimie ndipo ukifika Ukurasa wa 45 ndipo waufute ( wauondoe ) rasmi.
Mimi sijawahi kukuona na ban..au kwasababu situmii app ya jf
 
Na Wewe unawaamini hawa Wapumbavu kuwa ID iliyoanzisha Uzi huu ni Mimi hivyo hapa najipigia tu Promo? Usichokijua tu ni kwamba JF nina Maadui wengi tena wenye Upumbavu wa Kutovumilika ambao wanaumia na kukwaza mno na Fame yangu Kubwa hapa pamoja na aina ya Uwasilishaji wangu wa Hoja hivyo njia pekee Kwao ni Kunichokoza na Kunichafua kama hivi wakiamini kuwa watanimaliza na kunididimiza ila wanasahau tu ya kwamba kadri wanavyozidi Kunijadili hapa JamiiForums ndiyo wanazidi tu kuniongezea Umaarufu na Followers kila Uchao.

Kwa Kukusaidia tu ni kwamba aliyeanzisha huu Uzi si kwamba labda hayupo nasi hapa hivi sasa ila ameanzisha huu Uzi kwa ID yake ambayo huwa haitumii mara kwa mara illi atimize lengo lake ila hivi sasa nae anachangia kwa ID yake Kongwe ( Zoeleka ) huku akiwa na Kikundi cha Wenzake ( Members ) ambao wameshajipanga kuwa Yeye akianzisha tu Mada ( Uzi ) huu wao waanze Kunishambulia. Huu ni mwaka wa nane ( 8 ) sasa nipo hapa Jamvini ( JamiiForums ) hivyo nimeshajifunzxa mengi na najua mbinu za Wapumbavu kama Mleta Mada kwa alichofanya Kwangu.

Namalizia kwa kutoa Ombi kwa Uongozi mzima wa JamiiForums wachungune hii ID iliyoanzisha Mada ( Uzi ) huu na kama kwa Uwezo wao pamoja na Uzoefu wao wakiigundua hiyo ID ya Fohadi ni yangu Mimi GENTAMYCINE naomba wanipe Adhabu ya PERMANENT BAN hapa JamiiForums kwani nimeshachoka sasa kila Siku kusingiziwa ID's mbalimbali ( za Watu ) hapa JamiiForums na nasikitika mno Uongozi wa JamiiForums mnaacha huu Uzushi kuendelea dhidi yangu na kuruhusu pia Watu waje na Agenda zao za Kunichokoza na Kunizushia kama hivi na Kuwachekea halafu nami nikiwajibu hovyo mnakimbilia kunipa BAN. Inakera sana tu.

Cc: Invisible, Moderator, Paw na JamiiForums

Pole sana
 
Status
Not open for further replies.
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom