CCM na serikali yake mpakaleo hii viko kimya kuhusiana na tukio la kishujaa la wananchi wa misri kwani somehow linawahusu kwani madai ya wananchi wa misri yanafanana na madai ya wananchi wengi wa Tanzania kwa hivi sasa kama vile ukosefu wa ajira kwa vijana, uwizi wa mali za umma, ufisadi uliokithiri na kutowajibika. ni vyema chadema mkaanza kwa kulipongeza na kulitambua tukio lile
kwani linashabiina na kile kilichotokea Arusha kwa maana ya maandamano ya amani ya wananchi kudai haki zao wakizodhulumiwa na serikali yao.
Ningependa kupendekeza utangulizi ufuatao ktk hoja yako ya jumatatu kwa kuanza kuungana na Rais Barack Obama wa marekani na wapenda haki wote duniani kwa kuwapongeza waandamanaji wa misri kwa moyo wao wa ushujaa kwa kujitoa mhanga kutetea haki zao kwani mabomu machozi na maji ya kuwasha hayakuweza kufua dafu mbele ya people's power. wananchi wa Arusha wakiwa kama walivyowenzao wa misri walitumia njia inayofanana siku ya 1/5/2011 ya maandamano kupinga dhuluma waliyofanyiwa na serikali kupitia watumishi wake na hasa mkurugezi wa mji wa Arusha kwa kuitisha na kusimamia uchaguzi kinyume cha sheria huku akijua kwa kufanya hivyo anawadhurumu haki yao ya msingi wananchi wa Arusha ya kuchagua meya wanayemtaka kupitia kwa madiwani wao.
kama tulivyojionea wenyewe huko misri kuwa Haki huwa haiporwi ucheleweshwa tu
wananchi wa misri waliweza kupata haki pamoja na watawala kuwacheleweshea. kwahiyo ningependa kuchukua fursa hii kuwatia moyo wananchi wenzangu wa Arusha kuwa wasikate tamaa kutafuta haki yao kwani siku itafika wataungana kama wananchi wenzao wa misri kufurahia ushindi kwani Mungu siku zote huwa upande wa wapenda haki. halafu ukitoka hapo anza kumwaga ushahidi wote kuhusiana na nini kilichojiri huko Arusha nakutakia ulinzi wa mwenyezi Mungu awe pamoja nawe.
kwani linashabiina na kile kilichotokea Arusha kwa maana ya maandamano ya amani ya wananchi kudai haki zao wakizodhulumiwa na serikali yao.
Ningependa kupendekeza utangulizi ufuatao ktk hoja yako ya jumatatu kwa kuanza kuungana na Rais Barack Obama wa marekani na wapenda haki wote duniani kwa kuwapongeza waandamanaji wa misri kwa moyo wao wa ushujaa kwa kujitoa mhanga kutetea haki zao kwani mabomu machozi na maji ya kuwasha hayakuweza kufua dafu mbele ya people's power. wananchi wa Arusha wakiwa kama walivyowenzao wa misri walitumia njia inayofanana siku ya 1/5/2011 ya maandamano kupinga dhuluma waliyofanyiwa na serikali kupitia watumishi wake na hasa mkurugezi wa mji wa Arusha kwa kuitisha na kusimamia uchaguzi kinyume cha sheria huku akijua kwa kufanya hivyo anawadhurumu haki yao ya msingi wananchi wa Arusha ya kuchagua meya wanayemtaka kupitia kwa madiwani wao.
kama tulivyojionea wenyewe huko misri kuwa Haki huwa haiporwi ucheleweshwa tu
wananchi wa misri waliweza kupata haki pamoja na watawala kuwacheleweshea. kwahiyo ningependa kuchukua fursa hii kuwatia moyo wananchi wenzangu wa Arusha kuwa wasikate tamaa kutafuta haki yao kwani siku itafika wataungana kama wananchi wenzao wa misri kufurahia ushindi kwani Mungu siku zote huwa upande wa wapenda haki. halafu ukitoka hapo anza kumwaga ushahidi wote kuhusiana na nini kilichojiri huko Arusha nakutakia ulinzi wa mwenyezi Mungu awe pamoja nawe.