Frey Cosseny
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 1,984
- 1,405
Nashukuru mh waziri kuchukulia suala Hili positive na hatua stahiki zitafuatwaUlivyoandika mwanzoni ulionesha kwamba wewe ni mtalaam sana na unajua kanuni za miradi na EIA. Nami nikakuukiza swali linahusiana na utaalamu wako. Nilitegema utoe jibu la kitaalamu na sio aina hii ya maelezo. Hata hivyo nakushukuru kwa ushauri wako wa kitaalamu maana huenda wewe ni mmoja wa waliotumika kufanya EIA hapa kwetu.
Ndio mana sisi tunatafuta msaada wa viongozi wenye mamlaka watusaidie kutoa mwongozo iwapo haya ndio maamuzi yenu ya kitalaamu. Ila nikushauri usifanye masihara na maisha ya watu. Fanya hivyo kwa mambo mengine kama ni lazima kwako.
Again, nakushukuru.