Elections 2010 Barua Ya Wazi Kwa Kikwete !

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Jun 17, 2009
3,444
264
Mh. Kikwete,
Wananchi hawakutaki using'ang'anie madaraka wachukue akina riziwani ,mvuta unga miraji, makamba family, lawrence masha, makongoro mahanga, rostam aziz, karamagi, lowassa na mafisadi wengine na bila kumsahau mkeo mkafanye kampeni kule Bagamoyo. iwe nchi ndogo ndani ya tanzania tuachie Tanzania yetu kama ulivyoikuta. hatutaki umwagikaji wa damu

Umeshaiba mali ya nchi, bagamoyo na chalinze kuna sehemu za starehe mkayafuraie huko. Soma lama za nyakati zinazosema wazi kwamba watanzania hawakutaki, vinginevyo utapeleka nchi pabaya na usultani wako unaomfanya kitambi kilichojaa mavi Ridhiwani naye ajione kama rais. Ungejua wazi kwamba sisi wakurya tunazaliwa wanajeshi kasoro magwanda, hata ulete jeshi lote la wananchi kama hatukutaki ni hatukutaji, kwa hiyo usijidanganye kabisa

Au unasubiri maandamano hadi ikulu? kama ni hivyo basi watu wtaandamani hadi utoke ikulu. Tuna haki ya msingi ya kuandamana, iweje mtangaze mliposhinda waliposhinda upinzani mnakataa kutangaza matokeo? Tanzania ya sasa siyo ya zamani, wewe unaipeleka hii nchi pabaya, nadhani umenisoma vizuri Mkwere, vinginevyo subiri siku familia yako na ya makamba itakapoiona tanzania kuwa chungu

Najua unasoma ma blog, kama hauzisomi, najua wabeba begi wako, hasa Fisadi Chipukizi January Yusuf Makamba, anazisoma. Akufikishie huu ujumbe. Habari ndo hiyo "thatha wigure??


Mtiifu,

Mwita Waitare Magesa a.k.a Fisadi-Original
Tarime, Mkoa wa Mara
Tanzania, East Africa
Africa Continent

1.jpg
Recovered_JPEG_Digital_Camera_953.jpg
1%5B1%5D.JPG
RA.jpg
LaurentKegoMasha.jpg
KIKWETE-JR..jpg
 
kama kweli hamumtaki Mzee J.Kikwete mbona mme mpaka kura zenu? Mkuu FISADI-ORIGINAL wacha kuropoka ovyo tulia akuongoze huyo huyo uliyempa kura yako asante sana nawapongeza wote waliopiga kura nampongeza Rais J.Kikwete kwa ushindi wake mkuu
 
Mh. Kikwete,
Wananchi hawakutaki using'ang'anie madaraka wachukue akina riziwani ,mvuta unga miraji, makamba family, lawrence masha, makongoro mahanga, rostam aziz, karamagi, lowassa na mafisadi wengine na bila kumsahau mkeo mkafanye kampeni kule Bagamoyo. iwe nchi ndogo ndani ya tanzania tuachie Tanzania yetu kama ulivyoikuta. hatutaki umwagikaji wa damu

Umeshaiba mali ya nchi, bagamoyo na chalinze kuna sehemu za starehe mkayafuraie huko. Soma lama za nyakati zinazosema wazi kwamba watanzania hawakutaki, vinginevyo utapeleka nchi pabaya na usultani wako unaomfanya kitambi kilichojaa mavi Ridhiwani naye ajione kama rais. Ungejua wazi kwamba sisi wakurya tunazaliwa wanajeshi kasoro magwanda, hata ulete jeshi lote la wananchi kama hatukutaki ni hatukutaji, kwa hiyo usijidanganye kabisa

Au unasubiri maandamano hadi ikulu? kama ni hivyo basi watu wtaandamani hadi utoke ikulu. Tuna haki ya msingi ya kuandamana, iweje mtangaze mliposhinda waliposhinda upinzani mnakataa kutangaza matokeo? Tanzania ya sasa siyo ya zamani, wewe unaipeleka hii nchi pabaya, nadhani umenisoma vizuri Mkwere, vinginevyo subiri siku familia yako na ya makamba itakapoiona tanzania kuwa chungu

Najua unasoma ma blog, kama hauzisomi, najua wabeba begi wako, hasa Fisadi Chipukizi January Yusuf Makamba, anazisoma. Akufikishie huu ujumbe. Habari ndo hiyo "thatha wigure??


Mtiifu,

Mwita Waitare Magesa a.k.a Fisadi-Original
Tarime, Mkoa wa Mara
Tanzania, East Africa
Africa Continent

1.jpg
Recovered_JPEG_Digital_Camera_953.jpg
1%5B1%5D.JPG
RA.jpg
LaurentKegoMasha.jpg
KIKWETE-JR..jpg

Huyu miraji mvuta unga wa kazi gani umo ndani jamani? hana lolote huyu amelosti tu. Mwizi kweli kweli huyu hata baba yake keshaesabu sifuri. hao wa makama ni vibaka kweli. mwamvita haoni mume wa mtu mara mbili
 
Nilidhani mtu anapotoa maoni yake anayatoa kwa kutumia hekima na busara kumbe kuna watu kama fisadi orignal ameungua fwuzi za kichwani. Mtu mwenye malezi mazuri na ustaarabu hata kama wa kuiga hawezi kuandika matusi dizaini hiyo. Narudia kusema je ili uhesabike umeshinda kiharali lazima uende upinzania bajamani??? Nawapongeza ccm kwa ushindi wa kishindo na kaza kamba bado mnakubalika. Mzee makamba endeleza libeneke la chama cha mapinduzi mbele daima msirudi nyuma.
 
Umenena. Wananchi wameichoka ccm na jk (small letters).
Mking'ang'ania kututalawa mwishowenu mbaya.
Kila kitu kina mwisho. Had you been wise, mungeachia ngazi na uchaguzi uwe huru na wa haki. Kwa ukandamizaji huu, there's a price u'll someday pay. Tusubir
 
Hivi we Joka ulitegemea fisadi original aandike nini. Akili yake inafanana sana na alichoandika, na hapo kajiheshimu. Akifyatuka huyoo, hakamatiki.
 
Mod, tafadhali chunga staarabu za JF! Hii barua imejaa lugha isiyo ya kiungwana licha ya ujumbe wake kuwa na malengo! Au arekebishe lugha au uifute kabisa, Please for the sake of the JF
 
Imenikumbusha yale maneno ya Twanga Pepeta"
"Mnasema nimekunywa bia, na mie sijanywa, sasa ningelikunywa, ingelikuwaje?"

Hivi we Joka ulitegemea fisadi original aandike nini. Akili yake inafanana sana na alichoandika, na hapo kajiheshimu. Akifyatuka huyoo, hakamatiki.
 
kama kweli hamumtaki Mzee J.Kikwete mbona mme mpaka kura zenu? Mkuu FISADI-ORIGINAL wacha kuropoka ovyo tulia akuongoze huyo huyo uliyempa kura yako asante sana nawapongeza wote waliopiga kura nampongeza Rais J.Kikwete kwa ushindi wake mkuu

Na wewe acha Kuropoka Ovyo. Angalia alama za nyakati. CCM imepoteza muelekeo wake na Haikubaliki.
Kilichobakia tu ni kuchakachua kura ili idhaniwe kua anakubalika wakati ukweli uko wazi kua hakubaliki.

Wakae Nje waangalie nchi inavyoongozwa ili wajifunze.

Sorry it is a bitter pill which you have to swallow.
 
Mh. Kikwete,
Wananchi hawakutaki using'ang'anie madaraka wachukue akina riziwani ,mvuta unga miraji, makamba family, lawrence masha, makongoro mahanga, rostam aziz, karamagi, lowassa na mafisadi wengine na bila kumsahau mkeo mkafanye kampeni kule Bagamoyo. iwe nchi ndogo ndani ya tanzania tuachie Tanzania yetu kama ulivyoikuta. hatutaki umwagikaji wa damu

Umeshaiba mali ya nchi, bagamoyo na chalinze kuna sehemu za starehe mkayafuraie huko. Soma lama za nyakati zinazosema wazi kwamba watanzania hawakutaki, vinginevyo utapeleka nchi pabaya na usultani wako unaomfanya kitambi kilichojaa mavi Ridhiwani naye ajione kama rais. Ungejua wazi kwamba sisi wakurya tunazaliwa wanajeshi kasoro magwanda, hata ulete jeshi lote la wananchi kama hatukutaki ni hatukutaji, kwa hiyo usijidanganye kabisa

Au unasubiri maandamano hadi ikulu? kama ni hivyo basi watu wtaandamani hadi utoke ikulu. Tuna haki ya msingi ya kuandamana, iweje mtangaze mliposhinda waliposhinda upinzani mnakataa kutangaza matokeo? Tanzania ya sasa siyo ya zamani, wewe unaipeleka hii nchi pabaya, nadhani umenisoma vizuri Mkwere, vinginevyo subiri siku familia yako na ya makamba itakapoiona tanzania kuwa chungu

Najua unasoma ma blog, kama hauzisomi, najua wabeba begi wako, hasa Fisadi Chipukizi January Yusuf Makamba, anazisoma. Akufikishie huu ujumbe. Habari ndo hiyo "thatha wigure??


Mtiifu,

Mwita Waitare Magesa a.k.a Fisadi-Original
Tarime, Mkoa wa Mara
Tanzania, East Africa
Africa Continent

1.jpg
Recovered_JPEG_Digital_Camera_953.jpg
1%5B1%5D.JPG
RA.jpg
LaurentKegoMasha.jpg
KIKWETE-JR..jpg

wewe ndio huumtaki ila sisi watanzania wenzio tunamtaka,tunampenda na tumempa zote...na atashinda kwa kishindo kama utakufa kufa km utapinga matokeo pinga!na usitupigie kelele!matokeo ya uchaguzi zaidi uyajuavyo.............RUVUMA,MTWARA,SINGIDA,DODOMA,TANGA,PWANI NATABORA NI MIKOA AMBAYO AMESHINDA MAJIMBO YOTE!usione watu hawakujibu ukashangaa wako bize wanaandaa vivalo vya sherehe ya ushindi na uapisho!
 
Hakupewa kura bali ameiba.

Ameiba wapi?si mmepeleka wakala kila sehemu sasa wakala wenu walishindwa kusimamia hadi mkaibiwa?kama unaibiwa na unaangalia tu bila kutetea haki yako wewe ***** tu!
kama unaongea kitu ambacho hauna uhakika nacho unaropoka tu basi wewe mnafiki na mzushi!
 
Nani anaweza kunikumbusha maneno aliyosema Horace Kolimba, juu ya mwelekeo wa ccm?
 
Magesa amezungumza kila kilicho moyoni sidhani kama amemtukana mtu. Kulilia haki yako ni kosa jamani. Kumwonyeshea kidole mmbaya wako kuna ubaya wajameni?? Amekuwa mkweli na si mnafiki wala mzushi mlitaka aseme nini ambacho kingewafurahisha ninyi mnaoona amewaudhi. CCM hakuna marefu yasiyo na ncha 'tafakari' FURAHA YENU IGEUZWE KUWA KILIO NA SHANGWE NAYO IKAWE MAOMBOLEZO. FANYENI ANASA MKAWE VIPOFU.............msg.sent
 
kama kweli hamumtaki Mzee J.Kikwete mbona mme mpaka kura zenu? Mkuu FISADI-ORIGINAL wacha kuropoka ovyo tulia akuongoze huyo huyo uliyempa kura yako asante sana nawapongeza wote waliopiga kura nampongeza Rais J.Kikwete kwa ushindi wake mkuu


Unampongeza mwizi wa kura!!!!!!!!!!!!!!!!!! Ama kweli akili yako haina akili.
 


kama kweli hamumtaki Mzee J.Kikwete mbona mme mpaka kura zenu? Mkuu FISADI-ORIGINAL wacha kuropoka ovyo tulia akuongoze huyo huyo uliyempa kura yako asante sana nawapongeza wote waliopiga kura nampongeza Rais J.Kikwete kwa ushindi wake mkuu

JK ushindi wake ni wa kuiba kura kwa msaada wa NEC aliyoichagua yeye pekee yake....................
 
japo mm c mthithiem. Bado nastahili kukupa hongera kwa kuleta magaeuzi makubwa ya kisiasa nchini na pia kuwa mwenye uvumilivu, hekma na busara.
Kwa wakati tulio nao you deserve this massive victory. Hongera sana na Mungu akupe hekma na busara katika kuliongoza taifa hili.
Amen
 
Back
Top Bottom