Grenvil
Senior Member
- Feb 6, 2013
- 180
- 16
Dia Mwn FA natumai u
mzima,dhumuni
la barua hii ni kutaka kujua lin
utaweka waz mapato ya show
yako "the finest"uliyofanya ijumaa
ya tar 14.6.2013 na
kuwaeleza waTZ 15% ya
show ni kiasi fulani na
Kuzipeleka kwa mama mzazi wa
marehem Mangwea kama ulivyo
toa ahad,natumai umenielewa
nategemea jibu zuri
Xorry kama umekereka tuliumbwa
kuwakera wengine
mzima,dhumuni
la barua hii ni kutaka kujua lin
utaweka waz mapato ya show
yako "the finest"uliyofanya ijumaa
ya tar 14.6.2013 na
kuwaeleza waTZ 15% ya
show ni kiasi fulani na
Kuzipeleka kwa mama mzazi wa
marehem Mangwea kama ulivyo
toa ahad,natumai umenielewa
nategemea jibu zuri
Xorry kama umekereka tuliumbwa
kuwakera wengine